M Mkumbwa Jr JF-Expert Member Joined Mar 23, 2016 Posts 2,668 Reaction score 3,751 Mar 29, 2024 #61 Badala yakushauri mtia hasara aondoke unamshauri mambo ambayo anakuchekitu kisha anakung'ong'a. Wanatuona hamna kitu kama huamini haya
Badala yakushauri mtia hasara aondoke unamshauri mambo ambayo anakuchekitu kisha anakung'ong'a. Wanatuona hamna kitu kama huamini haya
Z zithromax JF-Expert Member Joined Apr 26, 2016 Posts 7,482 Reaction score 7,957 Mar 30, 2024 #62 Meneja Wa Makampuni said: Mkuu hivi inakuwaje kampuni za akina Shigongo Oil company zinapata faida alafu kampuni ya TANOIL inapata hasara? Click to expand... Hasara kww kuww wanamatumiza makubwa yanayokula faida yote
Meneja Wa Makampuni said: Mkuu hivi inakuwaje kampuni za akina Shigongo Oil company zinapata faida alafu kampuni ya TANOIL inapata hasara? Click to expand... Hasara kww kuww wanamatumiza makubwa yanayokula faida yote
Meneja Wa Makampuni JF-Expert Member Joined Jul 7, 2020 Posts 7,899 Reaction score 10,415 Mar 30, 2024 Thread starter #63 zithromax said: Hasara kww kuww wanamatumiza makubwa yanayokula faida yote Click to expand... Ni kweli
zithromax said: Hasara kww kuww wanamatumiza makubwa yanayokula faida yote Click to expand... Ni kweli
Leak JF-Expert Member Joined Feb 22, 2012 Posts 52,916 Reaction score 43,505 Mar 30, 2024 #64 Meneja Wa Makampuni said: Wachangiaji Click to expand... Kwanza naomba nimshukuru Mama Samia Suluhu kwa kuniwezesha kujibu comment yako
Meneja Wa Makampuni said: Wachangiaji Click to expand... Kwanza naomba nimshukuru Mama Samia Suluhu kwa kuniwezesha kujibu comment yako
M Magezi bugaga JF-Expert Member Joined Jul 7, 2021 Posts 1,181 Reaction score 1,594 Sep 11, 2024 #65 Kwani awafanyi calculation ya kina mmoja kauza mafuta kiasi Gani Kwa siku , kama sio hivyo basi Kuna uchepushaji wa hela
Kwani awafanyi calculation ya kina mmoja kauza mafuta kiasi Gani Kwa siku , kama sio hivyo basi Kuna uchepushaji wa hela