Kwako mkurugenzi wa TANOIL: Fanya yafuatayo kuongeza mauzo kwenye vituo vya mafuta vya TANOIL ili kampuni ipate faida

Badala yakushauri mtia hasara aondoke unamshauri mambo ambayo anakuchekitu kisha anakung'ong'a. Wanatuona hamna kitu kama huamini haya
 
Kwani awafanyi calculation ya kina mmoja kauza mafuta kiasi Gani Kwa siku , kama sio hivyo basi Kuna uchepushaji wa hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…