mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Hahahaha,mkuu hii habar niliisikia juu kwa juu kipindi nilisafir kwenda songea.Kabla hajakubali ombi lako...muulize anawafanyia nini wafanyabishara wenzake ya usafirishaji hadi kukimbia route ya Dar Songea?? Kiufupi huyo naye hapendi ushindani ila kakutana na wachina New Force hadi kumfu zilipigwa!
Kwa hyo hapo Kuna Siri gani kwa hao wachina wanaitumia kummudu huyo Superfeo?