Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nasema uongo ndugu zangu! 😂Hadi wewe..😂
Wivu sina ila roho inaumaNini wewe babu?
Sikuwahi kupenda hivi kama ninavyokupenda wewe. Hisia zangu juu yako hazipimiki Kama usivyoweza kuupima ulimwengu!,umekuwa ukitikisa hisia zangu pindi nisikiapo sauti yako tamu. Hakika nimepata mpenzi nakuahidi kukutunza na kukuimbia utenzi.
Tabasamu lako hunimulika na kuuona uzuri wako!,si tu sura nzuri yenye kuvutia bali hata umbile lako zuri huutakasa moyo wangu hata kabla ya kukushika. Ngozi yako nyororo ni faraja kubwa ktk mboni zangu.
Ee malikia wangu mwenye kutikisa virija vya mishipa yangu sema nikupe nini ujionee fahari ya uhai wako? Nilipokuita uliitika,nilipokushika ulishikika. Najivunia utamu wa penzi lako murua hakika nimepata nilipopatika
Nimependa sana usumaku wako mwanamke wewe,nitakuvika taji la mapenzi ili nikuenzi kwa vitendo na kwa upendo. Kwako taabani ya moyo wangu ulietamu na furaha ya nafsi y🤣
Chezea kufinyiwa😅mbingu ni yako..Sikuwahi kupenda hivi kama ninavyokupenda wewe. Hisia zangu juu yako hazipimiki Kama usivyoweza kuupima ulimwengu!,umekuwa ukitikisa hisia zangu pindi nisikiapo sauti yako tamu. Hakika nimepata mpenzi nakuahidi kukutunza na kukuimbia utenzi.
Tabasamu lako hunimulika na kuuona uzuri wako!,si tu sura nzuri yenye kuvutia bali hata umbile lako zuri huutakasa moyo wangu hata kabla ya kukushika. Ngozi yako nyororo ni faraja kubwa ktk mboni zangu.
Ee malikia wangu mwenye kutikisa virija vya mishipa yangu sema nikupe nini ujionee fahari ya uhai wako? Nilipokuita uliitika,nilipokushika ulishikika. Najivunia utamu wa penzi lako murua hakika nimepata nilipopatika
Nimependa sana usumaku wako mwanamke wewe,nitakuvika taji la mapenzi ili nikuenzi kwa vitendo na kwa upendo. Kwako taabani ya moyo wangu ulietamu na furaha ya nafsi yangu.
Acha ngwengwe mkuu.Ukishapigwa tukio usisite kuleta mrejesho .. Anyway MTAACHANA TU (in manara's voice) ..
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Msiogope jamenii😄Siogopi yeye maana alikua online kashaona shida ipo kwa wananzengo huko baadae😂
Kijana ashakolezwa ..Kwako Mwanamke nikupendae maishani mwangu.
Mbingu na dunia zitapita ila upendo wangu kwako hautafutika daima.. I feel like I was made to love you Mpenzi.
I don't know if you feel the same for me ila ndio ukweli wa roho yangu.
Furah na amani nayoipata nikiwa nawe Sijawahi ipata kipindi chote nilichokua hapa duniani.
Sina maneno mengi zaidi ya kusema Nakupenda sana harakati za siri and won't give up on you... On loving you truly madly deeply 🤗
View attachment 1838129
Ni vyema ili ifahamike Jimbo halipo wazi.Mimi leo nimejilipua bwana liwalo na liwe😆
Hata kwa kiboko SIFUTI.Kwa heshima yote naomba ufute Quote hizi Tafadhali