Kwako Mr. Blue

Mwanzisha mada hujui muziki!! Pamoja na matatizo yake ya ulevi wa kila aina lakini katika Marapa wa commercial hapa Bongo yule dogo muache kama alivyo!

Mimi si mtu rahisi kuwakubali marapa wa Kibongo lakini imenigharimu muda kuelewa kipaji cha Blue!😛oa
 
Twende tesa sana baby,vibaya ukinikana baby..
Ntakuwa sina maana baby,aaaahaaaah baby..
Toka mchana alfajiri,fake mpaka realy
Mapenzi sio siri,au kwakuwa tupo wawili.........
Hilo kitu linaitwa tabasamu,na kupitia hilo goma ndio wengi wetu tulipoanza kumjua steve rnb.Achana na bayser mleta mada.
Tulikwambia,muda wetu wewe...

"Nlikuwepo":bolt:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…