Kwako Mshana Jr

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Mshana Jr kumbuka kuwa hapa duniani tunapita, kunipeleka ofisi ni kwako na kunilima cha moto kisa nimehoji uganga na elimu yako ya unajimu kweli hii umeona ni kumaliza matatizo?

Mshana Jr damu yangu itakulilia mpaka siku na wewe unaingia kaburini. Wewe hutaishi milele kaka yangu Mshana Jr
 
Hmm aya mambo ni mazito embu funguka bibie tuweze kujua nn kime jiri uko kilingeni!!
 
Alinipiga sana lakini hakuna atakaeishi milele
Kama alikupiga kwanini hukuenda polisi? unadhani kuanzisha uzi humu itakusaidia kitu? kwa kawaida huyo mshana hata kuja kujibu kwenye hii thd bali atasubiri azungumziwe humu kisha yeye ata anzisha thd nyingine ya kujisafisha,

Anyway kesi haihukumiwi kwa kusikilizwa upande mmoja,ngoja tuone kama atakuja hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…