"Kukulima cha moto"mi hata sijaelewaMshana Jr kumbuka kuwa hapa duniani tunapita, kunipeleka ofisi ni kwako na kunilima cha moto kisa nimehoji uganga na elimu yako ya unajimu kweli hii umeona ni kumaliza matatizo?
Mshana Jr damu yangu itakulilia mpaka siku na wewe unaingia kaburini. Wewe hutaishi milele kaka yangu Mshana Jr
ameshaloga polisi wanamuogopa yeye na hata madaktari wanaogopa kunitibuKama alikupiga kwanini hukuenda polisi? unadhani kuanzisha uzi humu itakusaidia kitu? kwa kawaida huyo mshana hata kuja kujibu kwenye hii thd bali atasubiri azungumziwe humu kisha yeye ata anzisha thd nyingine ya kujisafisha,
Anyway kesi haihukumiwi kwa kusikilizwa upande mmoja,ngoja tuone kama atakuja hapa.
Mi mwenyewe nasubiri jibuKukulima cha moto namna gani?
Live au ndotoniMakofi mazito
Kiaje yani ebu funguka bhana..Alinipiga sana lakini hakuna atakaeishi milele
Wee nae sasa ilikuwaje hadi ukachezea hicho cha motoNi serious jamani
nahisi cha moto umekipata[emoji23]Makofi mazito
Nadhani alienda kama kwa mganga akapokelewa kwa makofi pale mlangoni si unajua waganga walivyo na mbwembweYaani ulienda kwake physically kabisa ukiwa umejiandaa na akili zako timamu ndio ukapata kibano au ulichukuliwa na mazombi yake?
....umetuacha njia panda!
Funguka zaidi.Mshana Jr kumbuka kuwa hapa duniani tunapita, kunipeleka ofisi ni kwako na kunilima cha moto kisa nimehoji uganga na elimu yako ya unajimu kweli hii umeona ni kumaliza matatizo?
Mshana Jr damu yangu itakulilia mpaka siku na wewe unaingia kaburini. Wewe hutaishi milele kaka yangu Mshana Jr
Basi hicho kipigo ni cha kawaida kabisa kufanyiwa mwanamke. Usihofu sana wewe endelea na maisha.Mimi ni mwananke