Kwako mtani wangu mshana jr

 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu jamaa mpuuzi sana,Leo eti naye anajidai kuleta uchuro kwa. Afya ya mh .rais,
 
Nadhani kipindi cha mvua wanapita juu ya mawingu ambapo hakuna mvua...

Sababu mvua hutokea kwenye mawingu kushuka chini...


Cc: mahondaw
 
Ikifika saa saa nane hadi saa kumi alfajiri ndo ataonekana hapa na kukujibu kwa vitendo, uwe macho tuu usilale popote utapokuwa tukio litaonekana live dunia nzima bin JF yote.

Matata K.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
 
Mmm nitaenda kumchukulia ndimu na ndulele na kipande cha wembe na mfupa au jino la kitimoto vyote hivuo vikishindwa nahama nchi[emoji2][emoji2]
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akikujibu unitagπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Hivi unaruhusiwa kupaa na simu? Fasta tu ushajibu? Afu muda huu si bado mko kazini? Au wewe leo ujaenda unatoa maelekezo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huko ANGA KUBWA, mitandao ya simu inakuwa international aka hii hii local?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…