Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Si mtu wa kawaida huyoMmm nitaenda kumchukulia ndimu na ndulele na kipande cha wembe na mfupa au jino la kitimoto vyote hivuo vikishindwa nahama nchi[emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mtu wa kawaida huyoMmm nitaenda kumchukulia ndimu na ndulele na kipande cha wembe na mfupa au jino la kitimoto vyote hivuo vikishindwa nahama nchi[emoji2][emoji2]
[emoji23]Tumsubiri aje
Kwanza nikupe hongera na kongole kwa kupandishwa cheo cha platnum member,
Kingine nilikuwa nakuuliza hivi kwenye kazi yako ya ulozi hivi kipindi kama hichi cha mvua kila sehemu/mkoa mkiwa huko angani na gari lenu (ungo) hivi mvua ikinyesha mnabaki hivyo hivyo uchi au hua mnavaa makoti(jackets)kujifunika
Ni hilo nimewasilisha.[emoji144][emoji144]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwanza nikupe hongera na kongole kwa kupandishwa cheo cha platnum member,
Kingine nilikuwa nakuuliza hivi kwenye kazi yako ya ulozi hivi kipindi kama hichi cha mvua kila sehemu/mkoa mkiwa huko angani na gari lenu (ungo) hivi mvua ikinyesha mnabaki hivyo hivyo uchi au hua mnavaa makoti(jackets)kujifunika
Ni hilo nimewasilisha.[emoji144][emoji144]
[emoji23][emoji23][emoji23]Ikifika saa saa nane hadi saa kumi alfajiri ndo ataonekana hapa na kukujibu kwa vitendo, uwe macho tuu usilale popote utapokuwa tukio litaonekana live dunia nzima bin JF yote.
Matata K.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]Mmm nitaenda kumchukulia ndimu na ndulele na kipande cha wembe na mfupa au jino la kitimoto vyote hivuo vikishindwa nahama nchi[emoji2][emoji2]
Akikujibu unitag😀😀😀😀
Hivi unaruhusiwa kupaa na simu? Fasta tu ushajibu? Afu muda huu si bado mko kazini? Au wewe leo ujaenda unatoa maelekezo?😂😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Hivi unaruhusiwa kupaa na simu? Fasta tu ushajibu? Afu muda huu si bado mko kazini? Au wewe leo ujaenda unatoa maelekezo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wingu likitanda wanapita juu yakeWale wana uwezo wa kuhamisha mvua na baridi wapendavyo
Universal [emoji23]Huko ANGA KUBWA, mitandao ya simu inakuwa international aka hii hii local?