Kwako mume wa huyu dada mwenye VOLKSWAGEN POLO

Mapenzi sio ya kuchukulia serious, utakufa mapema. Ona sasa miaka 30 una BP, na hizo dawa huwa zinaua Figo. Jaribu kufanya mazoezi na ku focus na mambo mengine ili uachane na hizo dawa kwani umri bado no mdogo.
Ushauri mzuri sana huu.
 
[emoji848][emoji848]
 
Mapenzi sio ya kuchukulia serious, utakufa mapema. Ona sasa miaka 30 una BP, na hizo dawa huwa zinaua Figo. Jaribu kufanya mazoezi na ku focus na mambo mengine ili uachane na hizo dawa kwani umri bado no mdogo.
Dr aliniambia nikianza sitakiwi kuacha na huwa najaribu kuziacha hata siku 2,3 najionea kasheshe kweli
 
Bro bado hukuweza kumsaidia.
Ilitakiwa mechi moja kali ya ugenini.
ndio tiba yake bidada.
 
Kama yupo bize na kazi hatoi mzigo je tatizo wanawake wengi wanaongea uongo ili waonewe huruma na kweli wana take advantage kwenye hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…