Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,824
- 4,447
Habari Wanamichezo
Wote ni mashuhuda kwa sisi Wanamichezo tumemshuhudia Nabi katika kipindi chake namna alivyokuwa anaweza kuusoma mchezo na namna anavyoweza kubadilika uwanjani kwa kufanya super sub
Huku Mayele ikiwa akiwa ndio funguo yake yake kuu katika kusaka matokeo
Tumeona Nabi aliweza ku dominate soka la nyumbani na kimataifa pia hadi kuiwezesha Yanga kufika fainali shirikisho
Sisi wengi wa kizazi hiki ndio mara ya kwanza kushuhudia tukiachana na mambo ya magazeti
Kuondoka kwake na Mayele tuliweza kutoa majibu kwa asilimia 80% Yanga inaenda kuanza tena upya kwani kama katika nyumba mfanoe Baba na mtoto mkubwa wa kiume wamesepa
Ujio wa Gamondi na sajili mpya tukaona mabadiliko makubwa kwani Yanga pia staili yake ikabadilika namna ya uchezaji na pia wingi wa magoli yaliyokuwa yanapatikana huku ukishindwa kuelewa ni yupi hasa mchezaji wa kutegemewa k
wa sasa Yanga,
Lakini pia unaweza sema Gamondi labda alikuwa anabebwa na ubora wa wachezaji lakini
yote kwa yote ubora wa Gamondi ulikuja kuonekana katika kipindi kigumu hiki kuwahi tokea katika msimu huu kwani yule ambae Wa-Afrika wote walioohofia kupangiwa nae aliambiwa utakutana nae
Hiyo haitoshi mbaya zaidi anatakiwa akam face akiwa hana wachezaji wake muhimu
Wote sisi mashahidi tactics zake alizoingia nazo tumemshuhudi Max akicheza kama wing back, tumeshuhudia jana Musonda akicheza kama kiungo na mengine mengi hadi kufikia huyu Mamelody ambae ni giant of Afrika akipita kwa masimango kwamba hakustahili
Na pengine tungekuwa Ulaya huenda Yanga ndie angekuwa club ya kwanza usiku wa jana kwenda Nusu
Let's back on our question
Kwa mtazamo wako Gamondi na Nabi yupi zaidi?
Wote ni mashuhuda kwa sisi Wanamichezo tumemshuhudia Nabi katika kipindi chake namna alivyokuwa anaweza kuusoma mchezo na namna anavyoweza kubadilika uwanjani kwa kufanya super sub
Huku Mayele ikiwa akiwa ndio funguo yake yake kuu katika kusaka matokeo
Tumeona Nabi aliweza ku dominate soka la nyumbani na kimataifa pia hadi kuiwezesha Yanga kufika fainali shirikisho
Sisi wengi wa kizazi hiki ndio mara ya kwanza kushuhudia tukiachana na mambo ya magazeti
Kuondoka kwake na Mayele tuliweza kutoa majibu kwa asilimia 80% Yanga inaenda kuanza tena upya kwani kama katika nyumba mfanoe Baba na mtoto mkubwa wa kiume wamesepa
Ujio wa Gamondi na sajili mpya tukaona mabadiliko makubwa kwani Yanga pia staili yake ikabadilika namna ya uchezaji na pia wingi wa magoli yaliyokuwa yanapatikana huku ukishindwa kuelewa ni yupi hasa mchezaji wa kutegemewa k
wa sasa Yanga,
Lakini pia unaweza sema Gamondi labda alikuwa anabebwa na ubora wa wachezaji lakini
yote kwa yote ubora wa Gamondi ulikuja kuonekana katika kipindi kigumu hiki kuwahi tokea katika msimu huu kwani yule ambae Wa-Afrika wote walioohofia kupangiwa nae aliambiwa utakutana nae
Hiyo haitoshi mbaya zaidi anatakiwa akam face akiwa hana wachezaji wake muhimu
Wote sisi mashahidi tactics zake alizoingia nazo tumemshuhudi Max akicheza kama wing back, tumeshuhudia jana Musonda akicheza kama kiungo na mengine mengi hadi kufikia huyu Mamelody ambae ni giant of Afrika akipita kwa masimango kwamba hakustahili
Na pengine tungekuwa Ulaya huenda Yanga ndie angekuwa club ya kwanza usiku wa jana kwenda Nusu
Let's back on our question
Kwa mtazamo wako Gamondi na Nabi yupi zaidi?