Nimeona nyuzi zako nying hapa ambazo daima zimejaa hekma busara na elimu aidha kuhusu magonjwa au tiba au kinga.Kwa kwel nimevutika na maarifa yako na chemchem yako. ninachotaka kujua jee una clinic ya tiba na ushaur ? Nakama unayo inapatikana sehem gani? Au ndo upo nje ya Nchi