Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Hizi nyimbo zinaanzia chipukizi.
CCM ni chama cha umma na kila mwana JF ana hati maliki kwa kununua au kulipia kadi yake kwenye shina.
Kataa wahuni; CCM ni ya watanzania.
Hakuna mwenye CCM kama chama ni mali ya kila mtu.