Kwako Nape kila kada anaweza hizo nyimbo

Eric Cartman

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2009
Posts
11,966
Reaction score
11,218

Hizi nyimbo zinaanzia chipukizi.

CCM ni chama cha umma na kila mwana JF ana hati maliki kwa kununua au kulipia kadi yake kwenye shina.

Kataa wahuni; CCM ni ya watanzania.

Hakuna mwenye CCM kama chama ni mali ya kila mtu.
 
Mawazo yake chama ni cha familia yao.
 

Hizi nyimbo zinaanzia chipukizi.

CCM ni chama cha umma na kila mwana JF ana hati maliki kwa kununua au kulipia kadi yake kwenye shina.

Kataa wahuni; CCM ni ya watanzania.

Hakuna mwenye CCM kama chama ni mali ya kila mtu.
Chipukizi ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…