HayaDhambi ni jambo linalotokana na kwenda tofauti na Tamaduni/Dini ya mazingira yaliyokuzunguka.
Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Zoroastrianism n.k
Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.
Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.
TUSIPANGIANE MAISHA.
Endelea kuwala tigo watoto wa watu alafu useme tusikuingilie...!!Dhambi ni jambo linalotokana na kwenda tofauti na Tamaduni/Dini ya mazingira yaliyokuzunguka.
Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Zoroastrianism n.k
Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.
Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.
TUSIPANGIANE MAISHA.
OyahUnapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu
Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.
Mfanano upo Mkuu.Kwani hakuna mfanano katika hizi dini au hayo madhehebu!!!
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Ndiyooooo kubwa!Dhambi ni jambo linalotokana na kwenda tofauti na Tamaduni/Dini ya mazingira yaliyokuzunguka.
Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Ubudha, Uhindu, Zoroastrianism n.k
Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.
Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.
TUSIPANGIANE MAISHA.
Sawa TUSIPANGIANE MAISHA,. Vipi ile ruksa ya Papa kwako ni dhambi au siyo dhambi?Dhambi ni jambo linalotokana na kwenda tofauti na Tamaduni/Dini ya mazingira yaliyokuzunguka.
Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Ubudha, Uhindu, Zoroastrianism n.k
Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.
Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.
TUSIPANGIANE MAISHA.
Sheria za nchi zina mwishoRaha Jipe mwenyewe Mkuu.
ILA USIVUNJE SHERIA ZA NCHI TU!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Hii ni ile imani ya kutosonteana vidoleOyah
Hii imani ni ya wapi!? Nataka kuhamia huko
Gigy papa chamkundule anakuita boss nenda kazagamueAstaghfirullah.
Mkuu kwa jinsi wanawake walivyowatamu siwezi kukubali Ruksa ya PAPA.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue