Kwako ni dhambi ila kwangu sio dhambi

Kwako ni dhambi ila kwangu sio dhambi

Dhambi ni jambo linalotokana na kwenda tofauti na Tamaduni/Dini ya mazingira yaliyokuzunguka.

Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Ubudha, Uhindu, Zoroastrianism n.k

Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.

Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.

TUSIPANGIANE MAISHA.
Kazi kwelkwel/job truetrue
 
Dhambi ni jambo linalotokana na kwenda tofauti na Tamaduni/Dini ya mazingira yaliyokuzunguka.

Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Ubudha, Uhindu, Zoroastrianism n.k

Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.

Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.

TUSIPANGIANE MAISHA.

Dhambi ni kwenda kinyume na Maagizo ya Mungu. Maagizo hayo tunayapata kwenye Biblia. Dhambi sio mtazamo na ndo maana kuna sheria za Mungu. Hata kama huamini katika maandiko matakatifu, bado unapaswa kujua kuna mambo ni dhambi na kuna mambo ni matendo mema. Huwezi kusema kwa mtazamo wangu kubaka sio dhambi.

Ndo maana ushoga unaenea kwasababu wao wanaamini “kwa mtazamo wao” wanachofanya sio dhambi.

DHAMBI SIO MTAZAMO.
 
Dhambi ni kwenda kinyume na Maagizo ya Mungu. Maagizo hayo tunayapata kwenye Biblia. Dhambi sio mtazamo na ndo maana kuna sheria za Mungu. Hata kama huamini katika maandiko matakatifu, bado unapaswa kujua kuna mambo ni dhambi na kuna mambo ni matendo mema. Huwezi kusema kwa mtazamo wangu kubaka sio dhambi.

Ndo maana ushoga unaenea kwasababu wao wanaamini “kwa mtazamo wao” wanachofanya sio dhambi.

DHAMBI SIO MTAZAMO.
Upo sahihi Mkuu, lakini kila mtu ana imani yake (IHESHIMIWE).

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Dhambi ni jambo linalotokana na kwenda tofauti na Tamaduni/Dini ya mazingira yaliyokuzunguka.

Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Ubudha, Uhindu, Zoroastrianism n.k

Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.

Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.

TUSIPANGIANE MAISHA.
🤣🤣🤣🤣
 
Dhambi ni jambo linalotokana na kwenda tofauti na Tamaduni/Dini ya mazingira yaliyokuzunguka.

Sasaivi tuna imani tofauti ulimwenguni kuna Uislamu, Ukristo, Upagani, Ujaini, Uyahudi, Shinto, Sikhism, Utao, Ubudha, Uhindu, Zoroastrianism n.k

Unaponiona nafanya kitu bila ya kuvunja sheria basi usiniingilie na kusema natenda dhambi. Wewe endelea na imani zako ila usidhubutu kunifundisha jinsi kuishi maisha yangu.

Unapoona nafanya mapenzi kabla ya Ndoa usithubutu kusema nazini, maana mimi sifanyi dhambi kwa imani yangu.

TUSIPANGIANE MAISHA.
Afrika Afrika Afrika Afrika. Sasa naamini ndiyo mnatoka utumwani .
 
Back
Top Bottom