Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
- Thread starter
- #101
Hahahahahaha............... Ntakupigia haniii...
Mi bado junia sitizen mamii.....
Ndo kwanza niko zama za... Usiende mbali namiiiii.....
Hahahahaaa hapo kwenye neno mamii angalia sinia sitizen asikupige ngwala heheheee
Usiondoke mbali namiii ...... Mimi bado nakupendaa..... nakupenda wanipenda usiende mbali nami..... usiendeeeee......... usiondokee. .........
Halafu leti asi duu ze nidifuli zis taimu. ....
Kuna kiwanja kimoja kinaitwa Rodizo kioo mikocheni kati.... waonaje tukatafune mishkaki ya mamba hapo
or whichever you want.... maana Watu8 aliingia mitini. Nipe time babu au leo uko kantalamba safari ni?