Hahahahahaha............... Ntakupigia haniii...
Mi bado junia sitizen mamii.....
Ndo kwanza niko zama za... Usiende mbali namiiiii.....
Oups... Better that way....
Nikajua labda fisi mimi nimeangukiwa na mfupa mchana kweupeeee..............
Hahahahaaa hapo kwenye neno mamii angalia sinia sitizen asikupige ngwala heheheee
Usiondoke mbali namiii ...... Mimi bado nakupendaa..... nakupenda wanipenda usiende mbali nami..... usiendeeeee......... usiondokee. .........
Halafu leti asi duu ze nidifuli zis taimu. ....
Kuna kiwanja kimoja kinaitwa Rodizo kioo mikocheni kati.... waonaje tukatafune mishkaki ya mamba hapo
or whichever you want.... maana Watu8 aliingia mitini. Nipe time babu au leo uko kantalamba safari ni?
Hehehehehe.... Ngoma ya Mpwita au masantula ipi??Hahahahaaa hiyo ilikuwa bumping style ya Kasie na Nyani Ngabu huku mambo mpwito mpwitoo heheheeee babuu enzi za masantula ulikuwepo?
Rodizo kioo???? Yani na uchakaramu wangu sijawahi sikia hilo chimbo.
Ahsante kwa kunipa homuweki.....
Hivi we mrembo... na ujanja wangu ntaendaje kuishi Kantalamba huko wakati Wizara ya Fedha na Benki kuu ziko Daslam??? Hivi unaona Waziri wa fedha na Gavana wa Benki kuu hawana akili mpaka wajichimbie daslama??
Tutabanana hapahapa....
Hako kaofa andika kameshakubalika. Ila tu komrendi Nyani Ngabu asije akanihamishia kikojoleo changu usoni.....
πππ
Ewe njiwa ewe njiwaaaaaaa......................
Hapo atasubiri sana. Hicho ni kipaji kanipa Mungu.Aah hizi simu za tachi ni shiida nilimaanisha Rodizo iko mikocheni kati........ sio kioo
Na usipoangalia atakufungia uwezo wako wa kukagua a kusajili timu mpya zinazoingia JF hehehehehee
Tuimbe wote....Masantula aaah eeh masantula tucheze sote masantula aaah eeh masantula tuimbe sote masantula aah eeh masantula.... huo.
Hapo atasubiri sana. Hicho ni kipaji kanipa Mungu.
Afu si nshakukatazaga kutumia smatifoni zimeandikwa Tecno?
Sitacheza tena na wewe
What went wrong???
Well.... afadhali!!Nothing....hizo zilikuwa swagga za kijanja tu Komredi.
No hard feelings.
Jiandae kwa surprise.... Najua ntakavokukamata.Hahahahaa kumbe na wewe wamoo eeh basi kila ijumaa mie hizo ndo ngoma zangu nakumbuka enzi zetu miaka ilee
Jiandae kwa surprise.... Najua ntakavokukamata.
Wewe mmachame leo umekuwa akina mura!!Teh.. kama Mura ni Mura................. Kaise is Kasie..........