Kwako Nyani Ngabu, how deep

Kwako Nyani Ngabu, how deep

Kasie umemuona wapi Nyani Ngabu leo? Namtafuta sana

Nenda whatsapp amejaa tele, kama humuoni online basi ujue amekuhide. Subiri akimaliza kuchat na watu wake atakusemesha. Wee mtumie msg akiisoma utaona tiki mbili za blue. Mie mwenyewe sijawasiliana nae wala sijamjibu msg zake tangu James aje. Akiondoka James ndo ntamtafuta 🙂🙂
 
Nenda whatsapp amejaa tele, kama humuoni online basi ujue amekuhide. Subiri akimaliza kuchat na watu wake atakusemesha. Wee mtumie msg akiisoma utaona tiki mbili za blue. Mie mwenyewe sijawasiliana nae wala sijamjibu msg zake tangu James aje. Akiondoka James ndo ntamtafuta 🙂🙂
Ooh! Kumbe mnawasapikaga eeh!
 
Babu hujanikosea. ....Ukinitaka radhi naweza kuchukuliwa na Malaika Gabriel haraka kabla ya muda. ....

Wajukuu wa huku A Town wanakusalimia. ..
Vitukuu pia vinakusalimia. ....
Kama usemayo ni kweli basi nizalie mtoto ili niamini
 
Back
Top Bottom