Kwako Pr David Mmbaga wa Kanisa la Wasabato

Kwako Pr David Mmbaga wa Kanisa la Wasabato

Eagle W

New Member
Joined
Oct 12, 2024
Posts
4
Reaction score
12
Natumai mu wazima wa Afya Huku tukizidi kupiga hatua mbele katika Bwana

Mimi ni Msikilizaji mzuri sana wa Mahubiri TV, Na sio Msabato pia siwezi kuwa Msabato Ila neno la Mungu halina dini, Nitakufa na Kuzikwa KKKT.

Hapa majuzi mchungaji Mmbaga umefundisha somo zuri sana (Maombi ya Yehoshafati) Nikiri wazi nimejifunza sana na sana pia nikaunganisha mafundisho yako ya Obedi-Edom jinsi ambavyo Mungu aliibariki nyumba yake baada ya Sanduku la Bwana kuwa katika nyumba yake baada ya Daudi kulikataa wakati linatoka (Haya mafundisho nimeyaelewa sana)

sasa niliamua kutendea kazi haya mafundisho mawili ila nikijikita sana Mungu aibariki nyumba yangu na kuitazama kama alivyoitazama nyumba ya Obedi-Edom. baada ya siku 4/5 ya maombi hayo mawazo kama sauti yakanijia kichwani "Je nyumba yako ina kipi niibariki kama Obedi-edom" (ila kimawazo hili swali nililielwa sana kwamba je kuna kitu gani kwangu hadi Mungu aniangalie kama alivyofanya kwa Obedi Edom)

Baada ya mawazo haya kama sauti kwakweli nilikua kama nimemwagiwa maji nikaacha kusali nikaenda kulala tu nikiwaza sana kwamba nifanye kipi ambacho Mungu atakiangalia.

Sasa Mchungaji naomba fundisha je tufanye kipi au ni kitu kipi katika dunia ya sasa ambayo ukifanya kama baba wa familia(ni baba wa familia mimi) Mungu atatitazama Nyumba yangu kama Obedi Edomu


1734237146425.png


ASANTE
 
Nakwambia tutakufa vibaya sisi wanadamu tuliopotoka....yani uzi toka saa moja hauna wachangiaji ila uzi wa Simba na mechi yake leo karibia unafika page ya 5....na mpira haujaanza...
Nawaona ngara23 na min -me mmelike tuu hamna la kusema hahaahhahaah
Sasa wa kwetu ni seme nini tena 😁😁
 
Nendeni mkamuone Mwamposa awape mbinu ya kuwakamata wajinga!...
 
Hiyo sadaka unatoka kila ulicho nacho hadi nauli na pesa ya akina ya chakula cha watoto
Uzuri wa sadaka ya kujimaliza majibu ni haraka na muujiza unaupata hapo hapo

Tuma sadaka ya kujimaliza kwenye Mapesa yangu haraka
Mkuu, ndo ile namba inaishia 55, nisije kosea jina.
 
Natumai mu wazima wa Afya Huku tukizidi kupiga hatua mbele katika Bwana

Mimi ni Msikilizaji mzuri sana wa Mahubiri TV, Na sio Msabato pia siwezi kuwa Msabato Ila neno la Mungu halina dini, Nitakufa na Kuzikwa KKKT.

Hapa majuzi mchungaji Mmbaga umefundisha somo zuri sana (Maombi ya Yehoshafati) Nikiri wazi nimejifunza sana na sana pia nikaunganisha mafundisho yako ya Obedi-Edom jinsi ambavyo Mungu aliibariki nyumba yake baada ya Sanduku la Bwana kuwa katika nyumba yake baada ya Daudi kulikataa wakati linatoka (Haya mafundisho nimeyaelewa sana)

sasa niliamua kutendea kazi haya mafundisho mawili ila nikijikita sana Mungu aibariki nyumba yangu na kuitazama kama alivyoitazama nyumba ya Obedi-Edom. baada ya siku 4/5 ya maombi hayo mawazo kama sauti yakanijia kichwani "Je nyumba yako ina kipi niibariki kama Obedi-edom" (ila kimawazo hili swali nililielwa sana kwamba je kuna kitu gani kwangu hadi Mungu aniangalie kama alivyofanya kwa Obedi Edom)

Baada ya mawazo haya kama sauti kwakweli nilikua kama nimemwagiwa maji nikaacha kusali nikaenda kulala tu nikiwaza sana kwamba nifanye kipi ambacho Mungu atakiangalia.

Sasa Mchungaji naomba fundisha je tufanye kipi au ni kitu kipi katika dunia ya sasa ambayo ukifanya kama baba wa familia(ni baba wa familia mimi) Mungu atatitazama Nyumba yangu kama Obedi Edomu


View attachment 3176938

ASANTE
Mkuu Eagle W, huu uzi umemlenga pastor specifically, hii hoja yako nadhani ungeipeleka kwenye ukurasa wa mahubiri tv ingemfikia mlengwa kwa urahisi.
 
Sasa Mchungaji naomba fundisha je tufanye kipi au ni kitu kipi katika dunia ya sasa ambayo ukifanya kama baba wa familia(ni baba wa familia mimi) Mungu atatitazama Nyumba yangu kama Obedi Edomu
Omba Mungu akuonyeshe kipi ufanye Ili uvune baraka zake.

Ibrahimu aliambiwa atoe sadaka na akaelezwa sadaka ya aina gani atoe.

Mwanzo 15:7-9
Kisha akamwambia, Mimi ni Bwana, niliyekuleta kutoka Uru wa Wakaldayo nikupe nchi hii ili uirithi.

Akasema, Ee Bwana MUNGU, nipateje kujua ya kwamba nitairithi?

Akamwambia, Unipatie ndama wa miaka mitatu, na mbuzi mke wa miaka mitatu, na kondoo mume wa miaka mitatu, na hua, na mwana njiwa.
 
Huwa. Sikosi na ni nadra sana nikose Mahubiri ya mmbaga ,yamenipeleka level nyingine kabisa ya imani,

Pr.Mmbaga amefundisha masomo mengi mazuri na yamenibadilisha maisha yangu ,kati ya masomo mazuri sana ambayo amewahi kufundisha ni hilo somo la

Baraka ya nyumba ya OBEDI EDOMU ,kwangu ilikuwa somo jipya kabisa sikuwahi kulisikia

Kuna somo moja alifundisha lilibadili kabisa mtazamo wangu ,alikuwa iringa ni kuhusu DAMU YA YESU hilo somo lilipata upinzani mkubwa sana wa shetani siku hiyo ,lilikuwa linagoma sana hata kuruka hewani

Huwa silisahahu ni umuhimu wa Damu ya Yesu ,nilikuwa sijawahi kuelewa umuhimu wa Damu ya Yesu kwa mtazamo ule aliofundisha mmbaga,

Miujiza mingi ilitendeka kwenye ule mkutano

Baraka za nyumba ya OBEDI EDOMU NA hili la Damu ya Yesu

Yanabaki masomo adimu kabisa ambayo mmbaga amewahi kuyafundisha
 
Ngoja nikarirudie Tena hili somo la baraka ya nyumba ya OBEDI EDOMU
 
Natumai mu wazima wa Afya Huku tukizidi kupiga hatua mbele katika Bwana

Mimi ni Msikilizaji mzuri sana wa Mahubiri TV, Na sio Msabato pia siwezi kuwa Msabato Ila neno la Mungu halina dini, Nitakufa na Kuzikwa KKKT.

Hapa majuzi mchungaji Mmbaga umefundisha somo zuri sana (Maombi ya Yehoshafati) Nikiri wazi nimejifunza sana na sana pia nikaunganisha mafundisho yako ya Obedi-Edom jinsi ambavyo Mungu aliibariki nyumba yake baada ya Sanduku la Bwana kuwa katika nyumba yake baada ya Daudi kulikataa wakati linatoka (Haya mafundisho nimeyaelewa sana)

sasa niliamua kutendea kazi haya mafundisho mawili ila nikijikita sana Mungu aibariki nyumba yangu na kuitazama kama alivyoitazama nyumba ya Obedi-Edom. baada ya siku 4/5 ya maombi hayo mawazo kama sauti yakanijia kichwani "Je nyumba yako ina kipi niibariki kama Obedi-edom" (ila kimawazo hili swali nililielwa sana kwamba je kuna kitu gani kwangu hadi Mungu aniangalie kama alivyofanya kwa Obedi Edom)

Baada ya mawazo haya kama sauti kwakweli nilikua kama nimemwagiwa maji nikaacha kusali nikaenda kulala tu nikiwaza sana kwamba nifanye kipi ambacho Mungu atakiangalia.

Sasa Mchungaji naomba fundisha je tufanye kipi au ni kitu kipi katika dunia ya sasa ambayo ukifanya kama baba wa familia(ni baba wa familia mimi) Mungu atatitazama Nyumba yangu kama Obedi Edomu


View attachment 3176938

ASANTE
Mimi Mungu aliniongoza kusaidia wafungwa gerezani ,nilifanya hivo

Nimekuja kuona muujiza katika maisha yangu

Mungu hawezi kukubariki bila sababu
 
Nakwambia tutakufa vibaya sisi wanadamu tuliopotoka....yani uzi toka saa moja hauna wachangiaji ila uzi wa Simba na mechi yake leo karibia unafika page ya 5....na mpira haujaanza...
Nawaona ngara23 na min -me mmelike tuu hamna la kusema hahaahhahaah
Njia ya kwenda uzimani ni nyembamba
 
Nakwambia tutakufa vibaya sisi wanadamu tuliopotoka....yani uzi toka saa moja hauna wachangiaji ila uzi wa Simba na mechi yake leo karibia unafika page ya 5....na mpira haujaanza...
Nawaona ngara23 na min -me mmelike tuu hamna la kusema hahaahhahaah
Itakuwa kama siku za nuhu ,watu watakuwa wakila kunywa na kuvaa ,kuoa na kuolewa
 
Back
Top Bottom