Kwako rafiki yangu na Dada yangu

Kwako rafiki yangu na Dada yangu

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Kwako Dada yangu na rafiki yangu humu JF especialy jukwaa letu pendwa la MMU.
Nimeamua kukuandikia huu ujumbe jukwaani badala ya kukutumia PM..
Rafiki yangu nilichokigundua ni kwamba unataka kupendwa, ndiyo maana moyo wako ni rahisi kupenda. Watu wengi huwa wanalipenda tu wazo la kupenda na hawafikirii nini kiendelee zaidi wakishapenda, ndiyo maana muda ukipita hilo wazo wanalichoka kukuhusu wewe waliyedhani walikupenda. Wewe unataka kutulia, ila watu unaowapata wanafikiri unataka kucheza, kwa sababu huwaonyeshi mapema kwamba unategemea watulie nawe, kwa hiyo baadaye ukija kuwaonyesha unataka kutulia nao... wao wanakuwa wanazingua. Hilo si tatizo lako kwa sababu ni wenyewe ndiyo wanakuwa wanashindwa kuona jinsi mambo yalivyo kihalisi. Kwa kifupi ni kuwa wao wanataka mambo yaende kwa haraka na wewe huwa unapenda mambo yaende taratibu huku moyo wako ukitaka ujiridhishe na uweze kupenda kabisa.
Pole sana Dada yangu na rafiki yangu, nina mengi ya kuandika lakini muda sio rafiki na mambo mengine yananizonga. Ukiusoma huu ujumbe naomba uni PM
 
Kwako Dada yangu na rafiki yangu humu JF especialy jukwaa letu pendwa la MMU.
Nimeamua kukuandikia huu ujumbe jukwaani badala ya kukutumia PM..
Rafiki yangu nilichokigundua ni kwamba unataka kupendwa, ndiyo maana moyo wako ni rahisi kupenda. Watu wengi huwa wanalipenda tu wazo la kupenda na hawafikirii nini kiendelee zaidi wakishapenda, ndiyo maana muda ukipita hilo wazo wanalichoka kukuhusu wewe waliyedhani walikupenda. Wewe unataka kutulia, ila watu unaowapata wanafikiri unataka kucheza, kwa sababu huwaonyeshi mapema kwamba unategemea watulie nawe, kwa hiyo baadaye ukija kuwaonyesha unataka kutulia nao... wao wanakuwa wanazingua. Hilo si tatizo lako kwa sababu ni wenyewe ndiyo wanakuwa wanashindwa kuona jinsi mambo yalivyo kihalisi. Kwa kifupi ni kuwa wao wanataka mambo yaende kwa haraka na wewe huwa unapenda mambo yaende taratibu huku moyo wako ukitaka ujiridhishe na uweze kupenda kabisa.
Pole sana Dada yangu na rafiki yangu, nina mengi ya kuandika lakini muda sio rafiki na mambo mengine yananizonga. Ukiusoma huu ujumbe naomba uni PM
Siasa zote hizi kumbe ndio umeishia hapa?
Najilaumu muda nliopoteza kukuheshimu
 
......am sure soon baada ya kuuona huu Uzi atakuja kwenye pm yako kwa hasira kali na jazba kuu, then badae atarudi hapa kukuchana kwa staili kama ya kutoa ushauri kwa wanaume........
 
Kwako Dada yangu na rafiki yangu humu JF especialy jukwaa letu pendwa la MMU.
Nimeamua kukuandikia huu ujumbe jukwaani badala ya kukutumia PM..
Rafiki yangu nilichokigundua ni kwamba unataka kupendwa, ndiyo maana moyo wako ni rahisi kupenda. Watu wengi huwa wanalipenda tu wazo la kupenda na hawafikirii nini kiendelee zaidi wakishapenda, ndiyo maana muda ukipita hilo wazo wanalichoka kukuhusu wewe waliyedhani walikupenda. Wewe unataka kutulia, ila watu unaowapata wanafikiri unataka kucheza, kwa sababu huwaonyeshi mapema kwamba unategemea watulie nawe, kwa hiyo baadaye ukija kuwaonyesha unataka kutulia nao... wao wanakuwa wanazingua. Hilo si tatizo lako kwa sababu ni wenyewe ndiyo wanakuwa wanashindwa kuona jinsi mambo yalivyo kihalisi. Kwa kifupi ni kuwa wao wanataka mambo yaende kwa haraka na wewe huwa unapenda mambo yaende taratibu huku moyo wako ukitaka ujiridhishe na uweze kupenda kabisa.
Pole sana Dada yangu na rafiki yangu, nina mengi ya kuandika lakini muda sio rafiki na mambo mengine yananizonga. Ukiusoma huu ujumbe naomba uni PM
Sasa hili mbona ni la wadada wengi hapa jamvini? Mimi nimeamua kutulia na wangu, tukipata kisses ye tunakula, kama ni kifughe tunakula pia.

Zetu mbalagha na makatapera
 
Mpaka sasa sijaona hata PM moja 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom