Kisalilo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 1,880
- 2,110
Safi kabisa Devotha minjaHehe Chadema mnafurahisha kweli
Mara Hatutaki lockdown mara Tunataka lockdown
Ndio maana hakuna anayewasikiliza maana hamueleweki mnataka nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi kabisa Devotha minjaHehe Chadema mnafurahisha kweli
Mara Hatutaki lockdown mara Tunataka lockdown
Ndio maana hakuna anayewasikiliza maana hamueleweki mnataka nini
Binafsi nashangaa sana kuwa mpaka Leo yupo madarakani wakati ofisi kaikimbia. Halafu tunadanganyana eti ofisi ya Rais ni popote!Hakuna mtanzania yeyote timamu anayetaka lockdown, Watanzania wanataka uwajibikike kama Rais wao, Watanzania wanataka uwazi wa wagonjwa wangapi wanakufa na wangapi wanaumwa? Watanzania wanataka kujua pesa za misaada ziko wapi? Watanzania wanataka kujua vifaa vilivyonunuliwa viko wapi?
Watanzani labda ungewaambia kwanini umejificha? Watanzania wanataka kujua kwa nini madoctor wanakimbia wagonjwa ? Watanzania wana haki ya kujua yote hayo?
Kama tatizo hakuna tanganza kuanzia leo kazi zote ziendelee kama kawaida.
Fungua shule, Rudi Ikulu uchape kazi au jiuzulu watu wanakufa wanateseka hospitali bila huduma zozote wewe umejificha haileti picha nzuri.
Magufuli unatushangaza sana sisi ndugu zako nakuomba achia Ikulu kama hauwezi kusimama na watanzania kwenye majanga ya Kitaifa.
Kama huyu aliomba akasikilizwa, basi ninyi mnadhambi maana mmeomba mungu aondoe corona haijaondoka.Amka kutoka usingizini. Ulikesha unaleta maombi janga hili liingie nchini. Sasa umefurahi? Bavicha mna utoto sana. Siasa mpaka kwenye magonjwa.
Kwa akili yake alifikiri corona itawaandama wana ccm pekee!Amka kutoka usingizini. Ulikesha unaleta maombi janga hili liingie nchini. Sasa umefurahi? Bavicha mna utoto sana. Siasa mpaka kwenye magonjwa.
Dunia nzima ina marais wa hovyo kabisa hasa huko kwenye nchi za ulaya ndio usiseme kuna marais wa hovyo kweli.Rais wa ovyo kabisa.
Tunamuonea bure Rais wetu!Huyu Rais linapokuja suala la majanga anakuwa wa hovyo kwelikweli. Sijui huo upendo anaohubiri ni upi zaidi ya kupambana na majanga kwa watu wake. Ila sishangai maana kwenye utawala wake yamefanyika mambo mengi sana ya kikatili dhidi ya binadamu.
Rais anapokea fedha za kuyakabili majanga yeye anaenda kuzihifadhi BoT ili zi boost uchumi! Sijawahi kuona aisee!
Watanzania wanataka kufahamu tuna vipimio(equipment) vingapi (idadi) vya Corona na viko wapi, Dar es Salaam pekee au na mikoa gani? Na kama kuna mipango gani ya karibuni ya kupata vipimio na kwa idadi gani.Mkuu suala si kuwa wamekufa wangapi. Suala ni uhusiano wa wanaoambukizwa kulinganisha na wanaopona kwa siku au kwa kipindi fulani.
Hapo itakupa hali ya ugonjwa bila kujali wanaokufa ni wengi au kidogo.
USA, Spain, Germany, Italy, China na kote waliko udhibiti maambukizi ni kidogo kuliko wanaopona.
Uganda, Rwanda na Kenya ni hivyo pia.
Mkuu namba ya wanaokufa haina maana yoyote (irrelevant).
Ila kumbuka mgonjwa hadi kufa au kupona ataambukiza wengine kama 90 kwa hali yetu iliyopo hivi sasa.
Ndani ya wiki 2 - 3 mgonjwa atapona au atakufa kutegemeana na huduma za afya zilivyo alipo au katika nchi.
Pia 5% - 10% ya walioambukizwa watakufa kwa ugonjwa huu.
Kasi ya maambukizi itafanya namba ya wafu kuwa kubwa mno katika kipindi kifupi kama maambukizi hayadhibitiwi.
Pole kwa kupitia kipindi kigumu Cha ujauzito ama kweli wanawake mnapitia maswaibu mengi.Wee mama naona kifafa chako cha mimba kimekupata tena.
Hakuna anayejua maana na sisi kwa kudhibiti habari tunazidiwa kidogo tu na North Korea na China.Hivi mbaka sasa hiv, wameshakufa wangapi? Hapa Tz
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwa hiyo unaamini kabisa maombi yake ndio yameleta Corona Tanzania!Huyo kijana mpuuzi sana. Alileta Uzi humu akiomba ugonjwa ufike Tanzania.
Mkuu Chakaza, ina maana Chato sio Tanzania ni Burundi?.Binafsi nashangaa sana kuwa mpaka Leo yupo madarakani wakati ofisi kaikimbia. Halafu tunadanganyana eti ofisi ya Rais ni popote!
Hata katika hali ya kawaida sikupata kusikia Nyerere akikaa Butiama wiki mbili mfululizo ije kwenye majanga kama haya? Yaani wakati wakati wa vita vya Amin angejificha Butiama siku 27 tungemuelewa? JK au Mkapa hawakuwa na kwao? Aibu sana.
Atuachie tuu ofisi yetu yeye aendelee kukaa zake huko apendavyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Madaraka ni kama pumzi.
Na pumzi hua hairudishwi kwa hiari mpaka unyang'anywe!
Mkuu hapangiwi