4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Wakuu, andiko hili ni fupi sana na nimatumaini yangu Mungu anabariki popote mlipo.
Leo nipo na ujumbe kwa Rais wa Zanzibar, na kabla ya ujumbe, kwanza nimpe pole kwa kuondokewa na baba mzazi, ambaye kwetu sisi Watanzania tunamtambua kama baba wa pili wa nchi hii. Pia, nimtakie mfungo mtukufu. Tanzania hatuna dini wala kabila.
Wakilisho langu kwa Mheshimiwa Rais binafsi ni Mkristo hai. Nategemea kuja Zanzibar mapema sana kabla ya kumaliza mwezi mtukufu. Nitakula, nitakunywa, halafu hao vijana nimewaona wamchapa mijeredi, waniguse nitalala ikulu kwako.
Nawakilisha.
Leo nipo na ujumbe kwa Rais wa Zanzibar, na kabla ya ujumbe, kwanza nimpe pole kwa kuondokewa na baba mzazi, ambaye kwetu sisi Watanzania tunamtambua kama baba wa pili wa nchi hii. Pia, nimtakie mfungo mtukufu. Tanzania hatuna dini wala kabila.
Wakilisho langu kwa Mheshimiwa Rais binafsi ni Mkristo hai. Nategemea kuja Zanzibar mapema sana kabla ya kumaliza mwezi mtukufu. Nitakula, nitakunywa, halafu hao vijana nimewaona wamchapa mijeredi, waniguse nitalala ikulu kwako.
Nawakilisha.