DOKEZO Kwako RPC; Mama huyu anayeuza dawa za kulevya Mbezi Beach anaharibu kizazi na kuhifadhi mali za wizi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wewe jiulize kwa nini kipindi hiki na sio cha 2015 -2021 kuna wimbi la matajiri wenye biashara za kawaida ila vitu vya dhamani kuliko mtaji???
Na Kuna wimbia la matajiri kuanzia miaka 19 aisee 😀 😀 hii mishe inawaingizia sana hela aisee Kuna kipindi mwaka juzi na mie nilitaka kuingia humu sema nikaona miyeyusho nisije kufa kibudu 😀😀😀
 
Safi sana Diddy kwa kufichua maovu ,umeileta taarifa humu basi jua huyo dada ataisoma namba.
 
Na Kuna wimbia la matajiri kuanzia miaka 19 aisee 😀 😀 hii mishe inawaingizia sana hela aisee Kuna kipindi mwaka juzi na mie nilitaka kuingia humu sema nikaona miyeyusho nisije kufa kibudu 😀😀😀
Nazungumzia kenya mkuu😂😂😂😂😂😂
 
Nazungumzia kenya mkuu😂😂😂😂😂😂
Kuna mwanangu mmoja hivi alikuwa na hela huyo nikajiuliza hela anatoa wapi Kila siku kumbe ni mdukuzi sasa serikali ya Kenya baada ya kumjua now si kakimbilia bongo mwenzie mmoja kafariki ndio ilikuwa michezo Yao kudukua pesa za madon na mawaziri aisee scammers wanapiga sana hela mixer wazee wa ngada na wazeee wa dojo lao pale posta
 
Na ukiambiwa ni mradi wa RPC alianzisha baada ya kuona Abdul akitembea na makapu ya fedha kuhonga watu bila kificho utasemaje? Utawala wa juu ukiongoza kwa rushwa unadhani chini kuna anayejali?
 
Mimi huwa naumia sana kuona vibaka wanaumiza watu utazan serikali haipo
Serikali gani? Unavyoona wewe kuna serikali? Hawa wapiga dili walijinyakulia madaraka ndiyo unawaita ni serikali? Nchi imefikia hatua watu wanasema fulani hawezi kuwa kiongozi kwa sababu ni mkweli sana huoni ni balaa?
 
Mtatukanwa sana taka taka hamna pesa mbwaaa na mengineyo mengi tu , na vijana watavuliwa ubingwa sana kwa tamaa za kijinga
 
Umenikumbusha enzi za billicanas kile kichichoro chetu aisee hakuna kinashindikana bongooo

Vibandaaa VINNE vinaamua hatimae yakoo upatee kazi wapii ukasomee wapiii na watu wametoboaaaaaaa

MUNGU awalindee sana wale jamaa aisee kama wako haiii..ingawa wali Fanya ufadhihinaa lakini walisaidia familia nyingi sanaa
 
Serikali gani? Unavyoona wewe kuna serikali? Hawa wapiga dili walijinyakulia madaraka ndiyo unawaita ni serikali? Nchi imefikia hatua watu wanasema fulani hawezi kuwa kiongozi kwa sababu ni mkweli sana huoni ni balaa?
Dah mtumish nani alaumiwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…