hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Haiwezi kutokea Aise. .mimi ni kunguru ' napenda sana privacy
Ukipatwa usisahau kutuletea mrejesho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipatwa usisahau kutuletea mrejesho.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] Ujuwe nacheka huku niliko hahahahahahahahah jamani jf...... Melo atabaki kuwa juuu kutuletea hiii kitu
Unaweza kuwa na hoja, mtu akiwa na stress anatafuta wapi apunguze machungu yake. Ni rahisi kufarakana na anajisikia furaha kuona wenzake wanapitia magumu anayopitia.Tusiwalaumu maana memba wote wa JF kama akina manengelo wanakuwa wametendwa ajabu! Hivyo hata yeye anaangalia risk factor na kwa mantiki hiyo lazima awe na spea taili kwa usalama wake. Taratibu tutafika. Wewe ulidhani Madam B angetulia? Unamuona Nifah ana makeke siku hizi. Ukiona mwanamke hapa JF na makeke sana jua hajapata wa kumtuliza akipata yupo tuli kama miss chagga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lol - kuwa decent ndio hauli papuchi. .huyo gwaji boy mwenyewe yame mshinda. ...hahaa
Fungueni tu siredi jamani wambea tupate faida.Haiwezi kutokea Aise. .mimi ni kunguru ' napenda sana privacy
Auntie ebu ninon'goneze[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo rafiki yako kama nammanya[emoji848][emoji848]
Siku hizi sioni hata wakibebishana tena sijui ndio walimwagana, tena naona hadi kidume alibadili id[emoji1787][emoji1787]
Hahahaha auntie ujue nimejiandikia tu ili nitajiwe kabisaAuntie shikamoo.
Auntie wewe si umesema unamfahamu?Auntie ebu ninon'goneze
Hahaaha ebu nitajie ukoHahaha acha uongo
Auntie nakusubiri unitajie hivyooo.Hahahaha auntie ujue nimejiandikia tu ili nitajiwe kabisa
Ningefarijika mkuu kujua kumbe bado hajawahiwa.!!Ungefanyaje mkuu???
Baba na wewe unampenzi humu,?Mahusiano ya humu matamu sana kama una-lay low! Mtu asijue yaani...[emoji23]
Fungueni tu siredi jamani wambea tupate faida.
Hahaaha ebu nitajie uko
Hahaha jinga sana wewe jamaa yangu. Au unataka mpaka nikutaje watu wakujue kuwa wewe ndiye muhusika
Ebu ngoja tusubiri hapahapa tutatajiwa auntieAuntie nakusubiri unitajie hivyooo.
Ko auntie unajifanya hujammanya? Hebu huko.Ebu ngoja tusubiri hapahapa tutatajiwa auntie
Hahaha hicho kipaji nime muachia mdogo wangu @zeshcriss
Hahahahahahhahahahaha woooiii yaani mie Umbea wa kuanzisha uzi siuwezi kabisaaaa naweza kudandia magari ya watu tu