Kwako sky eclat

Kwako sky eclat

Tusiwalaumu maana memba wote wa JF kama akina manengelo wanakuwa wametendwa ajabu! Hivyo hata yeye anaangalia risk factor na kwa mantiki hiyo lazima awe na spea taili kwa usalama wake. Taratibu tutafika. Wewe ulidhani Madam B angetulia? Unamuona Nifah ana makeke siku hizi. Ukiona mwanamke hapa JF na makeke sana jua hajapata wa kumtuliza akipata yupo tuli kama miss chagga
Unaweza kuwa na hoja, mtu akiwa na stress anatafuta wapi apunguze machungu yake. Ni rahisi kufarakana na anajisikia furaha kuona wenzake wanapitia magumu anayopitia.
 
Lol - kuwa decent ndio hauli papuchi. .huyo gwaji boy mwenyewe yame mshinda. ...hahaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shikamoo jf, mahaba yanapiga U turn za ghafla ghafla unabaki hiiiiiiiiiiiii
 
Kwahiyo unamtaka binti yake yoyote yule kabla hata ya kumuona...?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo rafiki yako kama nammanya[emoji848][emoji848]

Siku hizi sioni hata wakibebishana tena sijui ndio walimwagana, tena naona hadi kidume alibadili id[emoji1787][emoji1787]
Auntie ebu ninon'goneze
 
Hahaha jinga sana wewe jamaa yangu. Au unataka mpaka nikutaje watu wakujue kuwa wewe ndiye muhusika

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari Mzee
 
Back
Top Bottom