Kwako sky eclat

Unaweza kuwa na hoja, mtu akiwa na stress anatafuta wapi apunguze machungu yake. Ni rahisi kufarakana na anajisikia furaha kuona wenzake wanapitia magumu anayopitia.
 
Lol - kuwa decent ndio hauli papuchi. .huyo gwaji boy mwenyewe yame mshinda. ...hahaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shikamoo jf, mahaba yanapiga U turn za ghafla ghafla unabaki hiiiiiiiiiiiii
 
Kwahiyo unamtaka binti yake yoyote yule kabla hata ya kumuona...?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo rafiki yako kama nammanya[emoji848][emoji848]

Siku hizi sioni hata wakibebishana tena sijui ndio walimwagana, tena naona hadi kidume alibadili id[emoji1787][emoji1787]
Auntie ebu ninon'goneze
 
Hahaha jinga sana wewe jamaa yangu. Au unataka mpaka nikutaje watu wakujue kuwa wewe ndiye muhusika

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari Mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…