Ko auntie unajifanya hujammanya? Hebu huko.
Anazuga tu hapa huyu.Unaona ana zuga ehh! !!
Nakutafuta huu mwaka wa 9!!!!
A hahahahahahaha wanakufaje kwa mfano kisa nini labda?Lol utawaua wenzio kwa pressure ujue. . Kudandia magari ya watu tena?
[emoji23][emoji23][emoji23]Mapya haya
Mbea wewe... Ukimjua uninong'oneze
Si una dandia magari yaoA hahahahahahaha wanakufaje kwa mfano kisa nini labda?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si una dandia magari yao
Jamaaaniiiii nakujaHahahaha nimeshamjua..hahahahah mweh
[emoji23][emoji23][emoji23]nishavuka stage hiyo Agatha! Kwa uzee huu siwezi tena...Baba na wewe unampenzi humu,?
Mtu unayempenda hata akiongea pumba utaona mchele tena ule supa
MmmhhhNamjua rafiki yako [emoji1787]
Una uhakika? Tema mate chini usije nisabahi shikamooHebu niache nile uzee kwa amani ww mtoto..kuwa na adabu
Yaani ni ujinga uliotukukaUwiiii. Basi mapenzi ni ujinga ujinga tuuuu.
Wahenga maneno yao yalikua machache tu lakini yamebeba maana kubwa sanaMwenye dada hakosi shemeji
Ekizaktli.yaani utakula raha kimya kimyaMahusiano ya humu matamu sana kama una-lay low! Mtu asijue yaani...[emoji23]