Kwako Waziri wa TAMISEMI, Angellah Kairuki

Kwako Waziri wa TAMISEMI, Angellah Kairuki

Lil bees

Senior Member
Joined
May 17, 2022
Posts
143
Reaction score
158
Ndugu mheshimiwa hongera kwa kuteuliwa kuwa waziri wa TAMISEMI. Umepata cheo hiki wakati ambao vijana walioajiriwa mwezi wa saba mwaka huu wa 2022 wakiwa wanalalamika kila upande wa hili taifa kuwa wamedhulumiwa hela zao za kujikimu.

Zipo wilaya zimewapunja waajiriwa kiasi Kikubwa kweli. Mfano Morogoro, Songea, Butiama, nk. Tunakuomba uanze na hili huko halimashauri kuna watu wasiotosheka na kile kilicho chao tunaomba muwawajibishe maana hili linatia aibu serikali yetu pendwa.

Wako katika kazi na ujenzi wa taifa

Kazi ziendelee
 
Waziri umeipata hii. Waajiriwa wa afya butiama tumelipwa nusu tu ya pesa zetu za kujikimu. Wa idara ya elimu nao wanalalamika kuwa wamepunjwa. Lifanyieni kazi na hili wakubwa zetu. Sisi huku uwezo wa kupambana nahil hatuna. Tusaidieni
 
Kweli ni shida. Halmashauri zingine teeee Anna kitu kabisa
 
Ndugu mheshimiwa hongera kwa kuteuliwa kuwa waziri wa TAMISEMI. Umepata cheo hiki wakati ambao vijana walioajiriwa mwezi wa saba mwaka huu wa 2022 wakiwa wanalalamika kila upande wa hili taifa kuwa wamedhulumiwa hela zao za kujikimu.

Zipo wilaya zimewapunja waajiriwa kiasi Kikubwa kweli. Mfano Morogoro, Songea, Butiama, nk. Tunakuomba uanze na hili huko halimashauri kuna watu wasiotosheka na kile kilicho chao tunaomba muwawajibishe maana hili linatia aibu serikali yetu pendwa.

Wako katika kazi na ujenzi wa taifa

Kazi ziendelee
 
Back
Top Bottom