Kwako wewe dada ninaye kuhusudu/ku admire MMU

Nimefurahishwa uliposema "HUU SIO MTONGOZO" maana wengi tungeona una andaa mazingira. Lakini nimependa DUAH (maombi) uliyomfanyia. Hili liwe somo kwa akina Dada wengine hapa
 
Hahaaa. Kaelezea hisia zake anavyomkubali Emmy. Ungekuwa mtongozo angeshakuja huko PM na huwezi amini hata hajawahi fika.
Hata akija PM fanya iwe siri yenu maana jamaa anajitambua na kujiheshimu kama ulivyo wewe
 
Uwagawie na wenzako kidgo hyo mijisifa uliyomwagiwa [emoji2][emoji2][emoji2] kizuri kula na ndugu zako [emoji1][emoji1][emoji1][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hahaaaa najua hauwezi sky atakubanika maungio yako.

Nisaidie kumkagua huyo aliyeonesha upendo hapo juu,naweza nikaweka makazi rasmi?
A 'Paw in the bottle' by James Hadley Chase.......ulisha soma novel hiyo Hornet?
 
Yes yes one of my favourite...

More fur more fur...
Mi nilikipitia longtime ago, kulikua na yule jamaa sijui anaitwa Harry or something na mwanamke mmoja aliependwa na tajiri. Tajiri ambaye alifiwa na mkewe wa kwanza na kisha akapata upofu lakini akaja kuanza kuona bila kuwajulisha watu na akaja kushuhudia uchafu wa huyo mwanamke mpya akifanya mbele yake na Harry, sasa sijui nimechanganya madesa maana ni muda mrefu sana
 
Yule jamaa alikuwa na house maid mwenye tamaa
Ambaye alikuja kumdate father house
Mke akakutwa amefariki bila kujulikana muuwaji
 
Yule jamaa alikuwa na house maid mwenye tamaa
Ambaye alikuja kumdate father house
Mke akakutwa amefariki bila kujulikana muuwaji
Ooooh yes, you have refreshed my memory Hornet, Huyu house maid mwenye tamaa na yeye alikuja kufa kwa kua trapped kwenye chumba cha auto control cha yule fathe house, na yule boyfriend wake alikuja kufa kwenye tukio controversial la ujambazi au sio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…