Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 566
Sometimes watoto mmekuwa hamna adabu! maneno gani hayo tena!???Nimeuliza hivi kwasababu interest znatofautiana sana .
Mimi na mpenzi wangu tusipopanga hilo tendo tukawa TU maybe tunahang around ndo tunashtukizana TU.
Na hii inakua sehemu yoyote hata pakiwa open ilimrad watu wasituone TU na tunafurahia sana kuliko hata akiwa chumban kwangu.
Vipi wewe wapi????
OK basi jibu hvyo hvyo krohoUwa hatukutani kimwili Bali kiroho tu
Brother hujajua TU ila mpenzi ukichaa.. Jibu bsSometimes watoto mmekuwa hamna adabu! maneno gani hayo tena!???
Inahusu mkuu maana nlosema mpenzi wangu cjamaanisha wakuokotanaHii Thread haituhusu tulio kwenye ndoa, ngoja niwe msoma comment.
Sometimes tukipanda sana kutoka out kwa ajli ya kupumzika na kuenjoy tunaishia kukorofishana na kurudi kila mtu amenuna. Hayana formular mapenzi, binafisi napenda sehemu iliyotulia.
Hawa ndio wanatakiwa wachukuliwe wakalime
kwenye vichaka
Kama makaburini au vipi?Sometimes tukipanda sana kutoka out kwa ajli ya kupumzika na kuenjoy tunaishia kukorofishana na kurudi kila mtu amenuna. Hayana formular mapenzi, binafisi napenda sehemu iliyotulia.
Uongo refusha thread Hamna kituUwa hatukutani kimwili Bali kiroho tu
Haya mheshimiwa naona umeshindwa kujiheshimu kutokuangalia thread inayokufaaSometimes watoto mmekuwa hamna adabu! maneno gani hayo tena!???
Nimeipenda avatar yako. Hivi uliipata wapi?Uwa hatukutani kimwili Bali kiroho tu