Kagame apigwe, kagame apigwe inaimbwa Kila mahala.
Wazee pale Msumbiji paliwaka moto na wale IS hakuna aliyeenda, SA karibu tu pale lakini hawakutoka kwenda, SADC Ilikuwa kila siku vikao. RPF wamekwenda wamepatuliza.
Kule Benn DRC, M7 yupo kule anakamua hakuna anayenyanyua mdomo.
Sudan watu wanauana kufuru, AU Iko kimya, Libya hakuna aliyetia miguu ni vikao tu mwanzo mwisho.
Jichanganyeni tu ,kagame ana Backup M23 wa zamani si sawa na wa sasas ,hawa wamejipanga siyo wale Banyamulenge au interahmwe enzi za Ndadaye ,Bizimungu ,Wamba Dia Wamba ,Lora Nkunda hawa ni New generation always strapped full loaded.