Kwakuwa anatoa rushwa na rushwa haimpendezi Mungu natangaza kwa Jina la Yesu Mbowe hashindi huu Uchaguzi labda kama Mimi sisali kwa Bulldozer Mwamposa

Kwakuwa anatoa rushwa na rushwa haimpendezi Mungu natangaza kwa Jina la Yesu Mbowe hashindi huu Uchaguzi labda kama Mimi sisali kwa Bulldozer Mwamposa

Mbangaizaji wa Taifa

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
493
Reaction score
844
Anaandika Mjumbe wa Mkutano Mkuu

===
"Mbowe na wote wanaogawa rushwa natangaza kuwafuta katika Ulimwengu wa Kiroho na natangaza hawatashinda wale wote wanaogawa rushwa.

Natangaza Lissu & Heche kwa sababu ya haki Watashinda kwa kura nyingi sana Kwakuwa Mungu wetu ni Mungu wa haki.

Nataka mjue tu Mungu yupo na anajibu kwa haki rushwa sio haki"
 
Back
Top Bottom