Kwakuwa Msikiti wenu mkubwa bado haujakamilika, ningeshangaa sana kama mngekuja na Tamko la Kupinga

Kwakuwa Msikiti wenu mkubwa bado haujakamilika, ningeshangaa sana kama mngekuja na Tamko la Kupinga

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), limetoa msimamo wake kuhusu Rais John Magufuli kuchangisha fedha kwa ajili ya ujenzi wa msikiti akiwa kanisani, likieleza kuwa kitendo hicho ni cha uzalendo, upendo na uungwana.

Nipashe

Atakayewalaumu Waislamu kwa hili nitamshangaa sana kwani kama tayari Taasisi nzima imeshawekwa Mfukoni na hapo hapo bado kuna Faida ya Kiuchumi inapatikana, utaanzaje kwenda Kinyume na Mhisani wako mkubwa? Ila kwa Waislamu ambao nakutana nao Kitendo hiki Kimewakwaza ile mbaya na kuhisi Kudharauliwa na hadi Kudhalilishwa, ila wamechagua tu Kunyamaza na Kuendelea na Dua zao huku wakimuchia tu Allah.
 
Ahssante na shukran kwa taarifa..
Mojakwamoja bila kuweka sintofahamu :-
Kuchangiwa au kusaidiwa msaada wa mali (fundraising)au nguvu kazi (main power) au materials (vifaa ujenzi) ktk kuimarisha au ujenzi wa Msikiti (nyumba ya Mwenyezi-Mungu au jengo la kufanyia ibada) hiyo amali ni tendo zuri lenye kheri na linakubalika kbs ktk akida na imani ya kiislam.

Jamhuri ya madehebu inatambua michango ya aina hiyo since awali uislam ulipozaliwa na hadi kufikia leo.
Matokeo mbalimbali ya ngawira na mafanikio ya kiislam yaliweza hata kununua nyumba za ibadaa za "*ahlu al kitab, almushrikina nk nk*" na baadae kuvigeuza kuwa misikiti....
Pamoja na hayo Muislam anaruhusiwa kuswali ndani ya kanisa ilimradi aelekee Qibla !!
FYI.. hadithi zinadhihirisha na ayaat za Qur'an zinathobitisha.

Tafadhali tusijumuishe au kujumlisha wazo la kundi kwa waislaam waelewa tuliyo Umma mkubwa.
 
Ahssante na shukran kwa taarifa..
Mojakwamoja bila kuweka sintofahamu :-
Kuchangiwa au kusaidiwa msaada wa mali (fundraising)au nguvu kazi (main power) au materials (vifaa ujenzi) ktk kuimarisha au ujenzi wa Msikiti (nyumba ya Mwenyezi-Mungu au jengo la kufanyia ibada) hiyo amali ni tendo zuri lenye kheri na linakubalika kbs ktk akida na imani ya kiislam.

Jamhuri ya madehebu inatambua michango ya aina hiyo since awali uislam ulipozaliwa na hadi kufikia leo.
Matokeo mbalimbali ya ngawira na mafanikio ya kiislam yaliweza hata kununua nyumba za ibadaa za "*ahlu al kitab, almushrikina nk nk*" na baadae kuvigeuza kuwa misikiti....
Pamoja na hayo Muislam anaruhusiwa kuswali ndani ya kanisa ilimradi aelekee Qibla !!
FYI.. hadithi zinadhihirisha na ayaat za Qur'an zinathobitisha.

Tafadhali tusijumuishe au kujumlisha wazo la kundi kwa waislaam waelewa tuliyo Umma mkubwa.
Mkuu wewe umedadavua vizuri sana na Allah akusimamie kwenye imani yako, achana na hawa wapiga mboyoyo ambao kila jambo wanaliweka kwenye siasa
 
Mkuu wewe umedadavua vizuri sana na Allah akusimamie kwenye imani yako, achana na hawa wapiga mboyoyo ambao kila jambo wanaliweka kwenye siasa
Wanapiga tu Mboyoyo, na michango yenyewe hawatoi. Ingeleta maana kama wangesema hiyo michango ikataliwe, kisha watoe pesa mbadala za kujenga huo msikiti. Sasa watu wanaongea tu maneno nyuma ya keyboard zao, pesa hawatoi. Sisi Watanzania tuna matatizo sana. Tukipewa ni tabu, na tukinyimwa ni maneno, sijui tunataka nini?
 
Ahssante na shukran kwa taarifa..
Mojakwamoja bila kuweka sintofahamu :-
Kuchangiwa au kusaidiwa msaada wa mali (fundraising)au nguvu kazi (main power) au materials (vifaa ujenzi) ktk kuimarisha au ujenzi wa Msikiti (nyumba ya Mwenyezi-Mungu au jengo la kufanyia ibada) hiyo amali ni tendo zuri lenye kheri na linakubalika kbs ktk akida na imani ya kiislam.

Jamhuri ya madehebu inatambua michango ya aina hiyo since awali uislam ulipozaliwa na hadi kufikia leo.
Matokeo mbalimbali ya ngawira na mafanikio ya kiislam yaliweza hata kununua nyumba za ibadaa za "*ahlu al kitab, almushrikina nk nk*" na baadae kuvigeuza kuwa misikiti....
Pamoja na hayo Muislam anaruhusiwa kuswali ndani ya kanisa ilimradi aelekee Qibla !!
FYI.. hadithi zinadhihirisha na ayaat za Qur'an zinathobitisha.

Tafadhali tusijumuishe au kujumlisha wazo la kundi kwa waislaam waelewa tuliyo Umma mkubwa.
Wewe umeongea vizuri sio hawa watu wengine wasiojua
 
Usiongee usichokijua,MUM sio milki ya BAKWATA, Bali kinamilikiwa na taasisi ya kiislamu ambayo ni private,.Bakwata hawana chuo wanamiliki madrasa tu
Bakwata ni kichaka,waulize wakuonyeshe hata Hospitali moja ya Rufaa au chuo kikuu hata kimoja wanachomiliki zaidi ya kile cha MUM,walichopewa na na CCM,wameshindwa kupaka hata rangi majengo hayo.
 
Pole kwa maarifa finyu,naomba ulete ushahidi w kwqmba muislamu anaruhusiwa kuswali kanisani
Ahssante na shukran kwa taarifa..
Mojakwamoja bila kuweka sintofahamu :-
Kuchangiwa au kusaidiwa msaada wa mali (fundraising)au nguvu kazi (main power) au materials (vifaa ujenzi) ktk kuimarisha au ujenzi wa Msikiti (nyumba ya Mwenyezi-Mungu au jengo la kufanyia ibada) hiyo amali ni tendo zuri lenye kheri na linakubalika kbs ktk akida na imani ya kiislam.

Jamhuri ya madehebu inatambua michango ya aina hiyo since awali uislam ulipozaliwa na hadi kufikia leo.
Matokeo mbalimbali ya ngawira na mafanikio ya kiislam yaliweza hata kununua nyumba za ibadaa za "*ahlu al kitab, almushrikina nk nk*" na baadae kuvigeuza kuwa misikiti....
Pamoja na hayo Muislam anaruhusiwa kuswali ndani ya kanisa ilimradi aelekee Qibla !!
FYI.. hadithi zinadhihirisha na ayaat za Qur'an zinathobitisha.

Tafadhali tusijumuishe au kujumlisha wazo la kundi kwa waislaam waelewa tuliyo Umma mkubwa.
 
Back
Top Bottom