Tukundane JF-Expert Member Joined Apr 17, 2012 Posts 11,993 Reaction score 9,212 Nov 27, 2021 #21 Kimla said: Ndo maana nikasema uweke Nykanazi au Runzi au Biharamulo ili juwalizisha wanaosema jiwe alitaka kujipendelea ingawa nikiwauliza wanaomtuhumu jiwe waweke ushahidi wa yeye kutaka kuweka mkoa Chato,,hawana wanabaki na hisia tu Click to expand... Kwa kifupi ni kwamba hakuna sababu za msingi za kuongeza mikoa mingine mipya wakati hata mikoa ya zamani haijaendelezwa.
Kimla said: Ndo maana nikasema uweke Nykanazi au Runzi au Biharamulo ili juwalizisha wanaosema jiwe alitaka kujipendelea ingawa nikiwauliza wanaomtuhumu jiwe waweke ushahidi wa yeye kutaka kuweka mkoa Chato,,hawana wanabaki na hisia tu Click to expand... Kwa kifupi ni kwamba hakuna sababu za msingi za kuongeza mikoa mingine mipya wakati hata mikoa ya zamani haijaendelezwa.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 27, 2021 #22 Ngoja tuone...