Kwakweli Mimi hapa lazima nikusumbue tu

Mtoto ana trako kama hilo anakuaje ex kmmke πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‚

Kuna huyu mi kila siku tunazinguana kule IG sielewi aisee
 
Hili ni kahaba uoni katoboa sikio zaidi ya mara moja! Ukimwi unakutafuta mwamba!
Kahaba from where..?
Weae huyu unamjua..?
Kwani akitobia masikio mara tatu ndo kahaba ?
Unajuaje kama ana ukimwi ?
Thibitisha kuwa ukimwi unanitafuta ?

Mkuu ngoja niishie hapa ila huyo uliye mgusa tunaweza rushiana ngumi.humu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu hii siyo mara ya kwanza umeleta picha yake jukwaani akuhurumie tu anakutesa sana..
 
Mkuu hii siyo mara ya kwanza umeleta picha yake jukwaani akuhurumie tu anakutesa sana..
Kwa sasa hanitesi ni vile maokoto sina ya kutosha ila kwa sasa najipanga hili boom lote natuma kwake
 
We mtoto weee...naona wa Chilomwa wameisha unataka kuvuka border eti πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Mwaka huu ni wangu..
Niachieni mpaka kina chioma
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Humtaki Uche jombo?
Hivi unamsoma Moyo Lawal na Lilian Larkai? Huyu wa mwisho ukimjua utatupilia mbali Pearl watson
Ahahahaha montana hapana sipendelei mizigo ya kichina kwa kweli...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Moyo lawal huyu aisee ni mshangazi wa maana sijapata ona ila sasa nimeogopa zigo lile kumiliki hapana ila lilian mmmh aiseeee yaan anakosha roho yangu kama chinenyennebe ,πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…