Pre GE2025 Kwamba Peter Msigwa anataka tuamini yeye ni CCM kuliko wenye CCM yao?

Pre GE2025 Kwamba Peter Msigwa anataka tuamini yeye ni CCM kuliko wenye CCM yao?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Kwa mwenendo wake na hata ayanenayo tokea ajiuze huko CCM, Peter Msigwa amekuwa akitumia nguvu kubwa kutaka kuaminisha Umma wa Watanzania eti yeye ni CCM kindaki-kindaki haswa.

Najiuliza, hivi Msigwa haijui CCM vizuri eti?

Wallah CCM watakachomfanya Msigwa hatokuja kusahau!
 
Kwa mwenendo wake na hata ayanenayo tokea ajiuze huko CCM, Peter Msigwa amekuwa akitumia nguvu kubwa kutaka kuaminisha Umma wa Watanzania eti yeye ni CCM kindaki-kindaki haswa.

Najiuliza, hivi Msigwa haijui CCM vizuri eti?!

Wallah CCM watakachomfanya Msigwa hatokuja kusahau!
Kawaida yao. Walimtumia shonza wakambwaga, wakambeba Slaa njiani wakaachana naye.

Nani anakumbuka zile mbwembwe za Dr. Kabrou mwisho Wa siku wakawa Wanampita bila ya kumsalimu.

CCM wakikupata baada ya kuwasumbua wanakutembeza Nchi nzima kama njia ya kukudhalilisha kuwa huna msimamo na kuwa bei yako wameiweza.

Wanasiasa maslahi huwa hawana aibu Wala hawajali haiba zao kwa jamii.
 
Huyu mzee mpaka avae chupi kichwan
 
Huyu mzee mpaka avae chupi kichwan
 
Nawashangaa CCM wanatucha makada wamemkumbtia huyo mchungaji tapeli.
 
Nawashangaa CCM wanatucha makada wamemkumbtia huyo mchungaji tapeli.
Ukitaka Kukwea kirahisi ccm, anzia kwanza upinzani kama CDM, hapo utanunuliwa kwa pesa nzuri na cheo. Huo ndio ukweli wenyewe; asietaka aendelee kuvaa jezi za kijani mpaka uzeeni
 
Kwa mwenendo wake na hata ayanenayo tokea ajiuze huko CCM, Peter Msigwa amekuwa akitumia nguvu kubwa kutaka kuaminisha Umma wa Watanzania eti yeye ni CCM kindaki-kindaki haswa.

Najiuliza, hivi Msigwa haijui CCM vizuri eti?

Wallah CCM watakachomfanya Msigwa hatokuja kusahau!
Kachanganyikwa
 
Waitara alipewa mpk unaibu waziri, lkn siku hizi anahujumiwa jimboni kwake mpk analia mbele ya vyombo vya habari.
 
IMG_0061.jpeg
IMG_0058.jpeg
 
Kawaida yao. Walimtumia shonza wakambwaga, wakambeba Slaa njiani wakaachana naye.

Nani anakumbuka zile mbwembwe za Dr. Kabrou mwisho Wa siku wakawa Wanampita bila ya kumsalimu.

CCM wakikupata baada ya kuwasumbua wanakutembeza Nchi nzima kama njia ya kukudhalilisha kuwa huna msimamo na kuwa bei yako wameiweza.

Wanasiasa maslahi huwa hawana aibu Wala hawajali haiba zao kwa jamii.
Hivi yule Shonza yuko wapi siku hizi. Yeye muda wote alikuwa anamshambulia Dr Slaa. Baada ya Slaa kuondoka CHADEMA sikumsikia tena.
 
Tatizo ni tumbo...

Kwa mwenendo wake na hata ayanenayo tokea ajiuze huko CCM, Peter Msigwa amekuwa akitumia nguvu kubwa kutaka kuaminisha Umma wa Watanzania eti yeye ni CCM kindaki-kindaki haswa.

Najiuliza, hivi Msigwa haijui CCM vizuri eti?

Wallah CCM watakachomfanya Msigwa hatokuja kusahau!
 
Back
Top Bottom