Kwamba Skudu anabaki kwa ajili ya msimu mgumu ujao halafu Guede mmempa Byebye

Kwamba Skudu anabaki kwa ajili ya msimu mgumu ujao halafu Guede mmempa Byebye

Southern Highland

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
14,938
Reaction score
25,405
Hongera kwa uongozi wangu wa Yanga kwa kazi inayoendelea mpaka sasa kiukweli kwa kiasi fulani inaridhisha kuimarisha maeneo yaliyokua yanalega lega msimu uliopita. Lakini kuna jambo naona halijakaa sawa na hapo viongozi lazima tuwaambie mlipopuyanga.

Huyu Guede ambaye gari lake limewaka na kaanza kuzoeana na wachezaji wenzake alipaswa kupewa mkataba mpya na mzuri kuendeleza kile alichoanza nacho kwa nusu msimu aliokuwepo badala yake mnamuacha anaondoka na Skudu ambaye ni injury prone player bado yupo. Kiukweli sikutegemea kwa hili kutokea na nadhani mna haja ya kufanya kweli kuhakikisha Skudu aliyebaki ana deliver tulichotegemea kukiona.

Hongereni Singida mmepata mtu nafasi ya ushambuliaji.
 
Skudu winga.. guede striker
Je unatambua idadi ya mastrika tulionao?
 
Uwepo wa Skudu unamuwezesha Hersi kwenda SA na kusema "nina mchezaji wenu katika timu". Inawezekana anawasaidia katika majukumu mengi ya kisoko na kimkakati nje ya uwanjani.

Pia ukiwa mshabiki wa Yanga inabidi automatically uwe mshabiki wa Singida, nadhani wewe haujapata memo.
 
Hongera kwa uongozi wangu wa Yanga kwa kazi inayoendelea mpaka sasa kiukweli kwa kiasi fulani inaridhisha kuimarisha maeneo yaliyokua yanalega lega msimu uliopita. Lakini kuna jambo naona halijakaa sawa na hapo viongozi lazima tuwaambie mlipopuyanga.

Huyu Guede ambaye gari lake limewaka na kaanza kuzoeana na wachezaji wenzake alipaswa kupewq mkataba mpya na mzuri kuendeleza kile alichoanza nacho kwa nusu msimu aliokuwepo badala yake mnamuacha anaondoka na Skudu ambaye ni injury prone player bado yupo. Kiukweli sikutegemea kwa hili kutokea na nadhani mna haja ya kufanya kweli kuhakikisha Skudu aliyebaki ana deliver tulichotegemea kukiona.

Hongereni Singida mmepata mtu nafasi ya ushambuliaji.
guede hana faida kabisa, hata huwa sijui kwanini alikuja bongo.
 
Hongera kwa uongozi wangu wa Yanga kwa kazi inayoendelea mpaka sasa kiukweli kwa kiasi fulani inaridhisha kuimarisha maeneo yaliyokua yanalega lega msimu uliopita. Lakini kuna jambo naona halijakaa sawa na hapo viongozi lazima tuwaambie mlipopuyanga.

Huyu Guede ambaye gari lake limewaka na kaanza kuzoeana na wachezaji wenzake alipaswa kupewq mkataba mpya na mzuri kuendeleza kile alichoanza nacho kwa nusu msimu aliokuwepo badala yake mnamuacha anaondoka na Skudu ambaye ni injury prone player bado yupo. Kiukweli sikutegemea kwa hili kutokea na nadhani mna haja ya kufanya kweli kuhakikisha Skudu aliyebaki ana deliver tulichotegemea kukiona.

Hongereni Singida mmepata mtu nafasi ya ushambuliaji.
Kabla ujalaumu uwe unauliza, nani kakwambia skudu anabaki? Yanga kasajili wachezaji wangapi unajua? Kwa taarifa yako skudu ndio alikuwa mchezaji wa kwanza kuachwa baada ya mkataba wake kuisha ivyo kuwa na amani
 
Wote wameachwa binafsi naona baleke ni mzuri kuliko guede hasa akitulia na hata dube so ni sawa kwake kwenda Singida Kisha ataenda Namungo etc
 
Hongera kwa uongozi wangu wa Yanga kwa kazi inayoendelea mpaka sasa kiukweli kwa kiasi fulani inaridhisha kuimarisha maeneo yaliyokua yanalega lega msimu uliopita. Lakini kuna jambo naona halijakaa sawa na hapo viongozi lazima tuwaambie mlipopuyanga.

Huyu Guede ambaye gari lake limewaka na kaanza kuzoeana na wachezaji wenzake alipaswa kupewa mkataba mpya na mzuri kuendeleza kile alichoanza nacho kwa nusu msimu aliokuwepo badala yake mnamuacha anaondoka na Skudu ambaye ni injury prone player bado yupo. Kiukweli sikutegemea kwa hili kutokea na nadhani mna haja ya kufanya kweli kuhakikisha Skudu aliyebaki ana deliver tulichotegemea kukiona.

Hongereni Singida mmepata mtu nafasi ya ushambuliaji.
Wale wote ni hohe hahe.
 
Skudu kapewa THANK YOU..
FB_IMG_1720470470993.jpg


#YNWA
 
Back
Top Bottom