Kwame Nkrumah: Mwanaharakati aliyeoa mke asiyemjua

Kwame Nkrumah: Mwanaharakati aliyeoa mke asiyemjua

Kwa sababu heading haiendani na alichokiandika. Suala la kuoa ni kama 2% ya habari yote. Hakuna la kujadili.
baadhi ya member wa jf ata mtu aandike kitu gani kizuri wao ni kuponda tu, angeandika kuhusu kuoa akaandika mistari miwili wanajamvi mmngemshambulia mtoa mada na kuona hakuna alichoandika, kaandika uzi mzuri umejitosheleza bado mnamtoa kasoro na nyinyi muwe mnatoa nyuzi zenu tuone ujuzi wenu wa kuandika. well done mkuu
 
Huyu jamaa alikuwa jasiri sana, kuoa mwanamke ambaye hujawahi kudate naye,wala hujawahamu tabia yake ni kama kulala kwenye chumba ambacho hujui nyoka aliyeingia amekaa kona gani ya chumba
 
baadhi ya member wa jf ata mtu aandike kitu gani kizuri wao ni kuponda tu, angeandika kuhusu kuoa akaandika mistari miwili wanajamvi mmngemshambulia mtoa mada na kuona hakuna alichoandika, kaandika uzi mzuri umejitosheleza bado mnamtoa kasoro na nyinyi muwe mnatoa nyuzi zenu tuone ujuzi wenu wa kuandika. well done mkuu
Hakuna mahali popote nilipoandika kuwa ameandika uzi mbaya. Uzi ni mzuri sana tu hasa kwa watu ambao walikuwa hawafahamu mengi kuhusu Kwame Nkrumah. Nilichosema mimi ni kuwa Kichwa cha Habari hakiendani na yaliyoandikwa. Hivi kweli mfano ungepewa hii habari halafu uambiwe uitafutie Heading unataka kuniambia ungeandika hicho alichoandika mtoa mada?
 
Historia za viongoz wegi Afrika bila kiwepo habari za ki free mason kidogo au angalau ata uganga huwa napata tabu kuziamini 100%
 
Daah sijui Nkrumah Angedumu madarakani kama Nyerere Afrika ingekuwaje,,Nimejifunza mengi kwenye huu uzi mengi Nilikuwa siyajui kuhusu huyu Mwamba wa Afrika.
 
Kumbe maono ya nyerere ndo haya ya Africa ya sasa?
Licha ya kusifiwa sana, ukweli ni kwamba Nyerere hakuwa mtu wa maana hata kidogo, hata uhuru wa Tanganyika aliukuta almost uko tayari. Hakuna jitihada special ambayo personally alifanya.

Kwa hili la umoja wa afrika, unaweza sema alitumwa, ama alikuwa kibaraka wa wazungu, mostly likely alikuwa hivyo. Kama sivyo basi ni uroho wa madaraka ambao nkurumah aliuzungumzia.

Nkurumah was very right, kwamba watu wakinogewa na madaraka, hawatoweza kuungana tena kirahisi, labda yatumike mabavu kama ilivyokuwa kwa USA.

Unaweza kuona katika wote, ni yeye tu ndie alipingana na nkurumah, tena kwa nguvu nyingi mno, mpaka kutaka kushikana mashati, unaweza ukajiuliza, what was the motive Behind that, meaning, kama si yeye, Leo afrika ingekuwa moja.

I'm sorry to say, sijawahi kumuelewa huyo baba yenu hata siku moja, he was more of a talkative kuliko kuwa mtekelezaji, refer speech zake. Na ndio msingi wa siasa za ccm kuwa za porojo nyingi sana kuliko matendo, ndio walikoiga.

Hata Tanzania ya mauaji ya Leo, yeye ndio muasisi, alishiriki kuhujumu pia uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi ili mkapa na ccm ishinde, na huo ndio msingi wa yanayoendelea Leo tz.
 
Huyu jamaa alikuwa jasiri sana, kuoa mwanamke ambaye hujawahi kudate naye,wala hujawahamu tabia yake ni kama kulala kwenye chumba ambacho hujui nyoka aliyeingia amekaa kona gani ya chumba
Hata mwanamke pia ana ujasiri sana...ila ina faida zake mana mkijuana sana napo kuna kadhia zake...mda mwingine bora ujiingize mahala utulie tuliii
 
Back
Top Bottom