Kwame Nkrumah: Mwanaharakati aliyeoa mke asiyemjua

Alaf uje uniambie Mandela cjui nyok.onyoko
Wapo watu walojitoa kwa ajil ya Africa aisee
 
Wa Magharibi wametukamata vizuri kweli, sidhani kama tutaponyoka, hata tukijaribu, lazima tuangushane wenyewe kwa wenye sababu ya tamaa na uroho...
Hata wanaoamini Mungu sidhani kama wanamatarajio ya kutoka kwenye minyororo hiyo...
 
Sasa jimtu linashikwa akili kuharibu kizuri kilichofanywa na mwenzake
Hapa ndipo nachoka,mbona sisi hatuwezi kuwashawishi wauane na kupinduana ,poor mtu mweusi
 
Hawa wakoloni walikuwa na maana gani kila walipokuwa waktaka kuondoka walikuwa wanamuacha mwanamke km muangalizi/msaidizi
Ghana aliachwa mama Erica,hapa kwetu pia aliachwa mwanamke,,,
 
What the f^@k is this? Kama unaelezea Nkrumah alivyooa mke asijemjua, tumia muda kuelezea hilo. Kuna uhusiano gani kati ya malumbano ya Nyerere na Nkrumah na ndoa ya Nkrumah? Kamuzu Banda na wengine wanaingiaje kwenye thread ya ndoa?

Wahandishi wa kitanzania achene kutufanya watu mazoba.
 
Ume-cement yote niliyopata kuyasoma miaka kadhaa iliyopita kwenye course ya African Political Thought, ikihusisha sub topics zifuatazo;
*Africa Must Unite
*Nkrumah and African Unity
*Pan Africanism
*Non Aligned Movement
 
Ukimgusa mzungu mkono tegemea fitina, salamu zimfikie Juma Patrick Mwanzela
 
Nadhani uzi ungetenganishwa kulingana na maudhui

Ya ukombozi yakae pembeni na ya ndoa yakae pembeni.
Kwa mtazamo wa viongozi wa sasa sidhani kama wana angalia mbali kama alivyokuwa anaangalia Kwame Nkurumah na washirika wenzake.
 
Sijui kuna kitu gani nyuma ya watu wapweke.Ni watu wanaopata mafanikio sana ila huwa hawana furaha katika maisha.

From experience.
Au tuseme watu wenye mafanikio sana ni watu wapweke ?
Nadhani ni kwa sababu wanafocus sana kwenye kile kinachompa mafanikio

Ila baada ya kufikia lengo anajikuta alishajitenga na ulimwengu wa kijamii.
 
Uandishi wako unavutia sana kusoma[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…