Kwamoto huu wa CCM Ushetu CHADEMA mlikuwa sawa kusogeza magoli nyuma | Hapa Shaka kule Mizengo Pinda pale Katambi huku Ditopile ni "Utajua Hujui "

😍
 
Chadema haishiriki ila bado mnaiwaza na kuiongelea kila siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli hata nyie hamna raha mkiwa peke yenu
 
Hicho kibwagizo chako cha khaa kinatumiwa sana na mashoga sijui na wewe ni mmoja wao?
Hilo "khaa" linatengenezwa kooni...kumbe ni "mash..ger" pekee ndio wenye makoo ya kukwaruza ee si ndio ee?!!

Mnatuwekea mavideo ya kutengeneza ili tuwapigie makofi?!!Khaaa 😲😲
 
Kelele za chura hazimtoi tempo kunywa maji.

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Mi nadhan kipimo kizur ni pawepo fair grounds za kufanya siasa ndipo tutajua nan ni nan, mbali na hapo ni kujitekenya na kujipa genye mwenyew
 
Hilo "khaa" linatengenezwa kooni...kumbe ni "mash..ger" pekee ndio wenye makoo ya kukwaruza ee si ndio ee?!!

Mnatuwekea mavideo ya kutengeneza ili tuwapigie makofi?!!Khaaa 😲😲
Kwa hiyo unakubali kuwa wewe ni kitafunwa. Poa ngoja mukakaka wakusome utapata wateja
 
unanishangaza kidogo,sasa kama hakuna upinzani nguvu yote hiyo ya nini si mngekaa tu tukasubiri ushindi?
 
Nchi hii ina watu wa ajabu kweli uchaguzi wa chama kimoja unashangilia Kama wa vyama vingi. Nguvu wanayoitumia ccm kuuwa vyama vingine wangeitumia hata nusu tu kupeleka maendeleo kwa wananchi kulikua hakuna ulazima wa kuwa na praise team ya vilaza kama mleta uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…