theChoosen1
Member
- Aug 1, 2013
- 45
- 9
jamani nahitaji kujua kama ba in marketng&public relations kama ni complicated course au tight kiasiflani,math baba mkwe kwangu ni hayo tu wakuu.
Course ya kidada hiyo,ukishndwa utakua kilaza uliyepitiliza.
jamani nahitaji kujua kama BA in marketng&public relations kama ni complicated course au tight kiasiflani,math baba mkwe kwangu ni hayo tu wakuu.
Utoto bwana?
wewe kiukweli ina concept ngumu lakin si tait ki vle kwan kamanda umepga comb gan adv na una drj la ngap?
Course ya kidada hiyo,ukishndwa utakua kilaza uliyepitiliza.
div3 point15 HGL
jamani nahitaji kujua kama ba in marketng&public relations kama ni complicated course au tight kiasiflani,math baba mkwe kwangu ni hayo tu wakuu.