ntita
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 513
- 285
mi ni kijana wa kidato cha 6, nmekuwa na hamu sana ya kujiunga na chuo kikuu cha dodoma, lakini kila nnaemwambia hilo hunibeza na kusema eti udom si chuo cha kwenda.
Ninachotaka kufahamu ni ubovu na ubora wa chuo hicho hasa kutoka kwa wale mliosoma hapo ili niweze kufanya uamuzi sahihi muda utakapofika.
Natanguliza shukurani.
Ninachotaka kufahamu ni ubovu na ubora wa chuo hicho hasa kutoka kwa wale mliosoma hapo ili niweze kufanya uamuzi sahihi muda utakapofika.
Natanguliza shukurani.