Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Acha hizo wanafunzi wanapewa course work unasema nini wewe kilaza, unapata digrii ya kubebwa hafu unasema umebukua kwa nguvu yako!
Kwanini unaudanganya umma?? Hata news zinazozizima taifa (mf. Mwanafunzi wa Mzumbe ajiua baada ya kudisco, mzumbe unadisco kwa semester 1 tu n.k) huzijui.😕😕😕
Pole sana kilaza