kwan udom kuna tatizo gani?{waliosoma huko tafadhali mnijuze}

kwan udom kuna tatizo gani?{waliosoma huko tafadhali mnijuze}

hv tatizo ni vyuo au sisi tunao soma? basi naomba niulize kabla sijaendelea, hvi mwanafalisafa plato alisoma chuo gan jaman? yeye plato na wasomi wetu wanaosoma vyuo vyuo bora hapa tz ni bora kuliko plato? nini? udom kuna madudu? mhh! anyway sijasoma udom ila kuna marafiki zangu walosoma hapo na ninawakubaki!

Ukweli na uongo siku zote havikai pamoja. Kabla sijajibu swali lako la Plato na alikosoma naomba nawe unisaidie kuniambia nani leo anaweza kuomba kama Musa hata Mana zianguke kama zilivyo anguka Musa alipoomba? Ukisoma habari za Socrates naamini utanielewa vizuri ni kwanini nimekuuliza hayo ya Musa na waombaji wa leo. Ni kweli kuwa kizazi cha leo hutuwezi kujilinganisha na kizazi cha wakati huo. Kama ambavyo bado napinga kuwa kulinganisha UD kwa mfano na UDOM kitaaluma si sahihi. Na maneno haya haimaanishi kuwa products za UD ni nzuri zote au za UDOM zote ni mbovu hapana. Lakini ni kweli kuwa UD ni wazuri kitaaluma ukilinganisha na UDOM. Hii inajidhihirisha katika ranking ya vyuo vikuu na ushindani wa ajira wahitimu wanapokuwa katika soko la ajira. Pia utendaji kazi wao wanapokuwa kazini.
 
Kwanini unaudanganya umma?? Hata news zinazozizima taifa (mf. Mwanafunzi wa Mzumbe ajiua baada ya kudisco, mzumbe unadisco kwa semester 1 tu n.k) huzijui.😕😕😕
Pole sana kilaza

Hivi disco ndiyo dhana ya ubora wa chuo?! Yaani na wewe unatoa taarifa ya msiba kutokana na discontinued kama dhana ya uthibitisho ya ubora wa chuo. Ficha ujinga usiingizwe mkenge kipumbavu.
 
Mzee ES,
Nasikitika sana sikuwepo ktk mkutano huo na sababu kubwa ni kwamba sisi wenyewe hapa tulikuwa na kijimkutano chetu ktk kuanzisha upya jumuiya ya Watanzania.
Aliyosema Tausi ni habari zinazovuma North America na hakika hata mimi nimejaribu sana kupata habari hizi kwa kirefu lakini imekuwa shida. Vijana wengi naofahamiana nao hawakwenda. Habari za Bush kukutana na JK, kusema kweli nimeziona tu ktk magazeti ya Bongo. Sijaona hata artical moja toka gazetini, tovuti wala radio inayosema hivyo zaidi ya Dick na C. Rice.
Tausi,
Umezungumzia kuhusu Mkapa, sijui kama umesahau kwamba ni JK akiwa kama waziri wa mambo za nje ndiye alikuwa akijibu sana maswali ya Mkapa. Mkapa mwenyewe jeuri na mara nyingi alijiepusha hasa nchi za nje.
Kusema kweli Tausi nadhani mimi nitasikitishwa sana na nyie kwa sababu hamkujiandaa.. JK hawezi kujibu maswali ambayo hayakuulizwa. Rais yupo pale kusikia wewe matatizo yako na kuyawakilisha kwa wahusika! nadhani mlitakiwa kudondosha swala la Uraia wa nchi mbili...

mchunia rungu, nimekuelewa,UD nawakubali na hapana shaka kuwa wako kwenye kiwango bora. mi nafikiri udom pia tunahtaji kuwapa muda, UD kama sikosei wamekuwepo tangu 1961.Tusiwabeze sana udom. bado wanapambana na uchanga ukilinganisha na udom. yako mambo mengi. let nature and narture play their roles,at least fact in future will do a good evaluation and show the real results
 
Nipo UDOM,ndo ninayekifaham A-Z ni chuo kizur sana huyo asemaye kbaya yawezekan anatoa tathmin ya mwaka 2007 I love UDOM
 
UDOM bongela chuo kwa sasa,hata product zake zinaheshmika sa hiz kwene soko la ajira nilfanyaTP na wat wa UD hawajui kit
 
nashukuru sana wana jf, nimepata kitu. vipi kuhusu lecturers, wapo wa kutosha?
 
nmesoma udsm lakin juzi nlimpitia shemej yako wakat nakuja mwanza kikazi Udom ni pazuri sana na ni chuo kizuri tu hamna kukabana koo na lecturers njoo usome hapa dogo.
 
Back
Top Bottom