...na bado anaendelea kubebwa.Kila Kona anaharibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...na bado anaendelea kubebwa.Kila Kona anaharibu
sasa si amekupatia pesa uje useme hivyo.Binafsi kwenye suala la kupanga na kupangua hoja,kutopanic pamoja na kuwa smart kwenye brain, January Makamba huwa namuona ni mwanasiasa nambari wani kuliko wote katika nchi hii hata kina Zitto, Lissu wakasome.
Nachojiuliza watu wa namba hii huwa wanashindwaje kuhawilisha hayo maarifa kwenye utekelezaji halisi?Maana kwenye implementation katika wizaravya nishati kapata Grade F!
View attachment 2761140
Huyu bwana achelewi kusema kama vip njoeni mniue au kusingizia kama mnataka nafasi yake basi hamuwezi cos Rais amemuaminiBinafsi kwenye suala la kupanga na kupangua hoja,kutopanic pamoja na kuwa smart kwenye brain, January Makamba huwa namuona ni mwanasiasa nambari wani kuliko wote katika nchi hii hata kina Zitto, Lissu wakasome.
Nachojiuliza watu wa namba hii huwa wanashindwaje kuhawilisha hayo maarifa kwenye utekelezaji halisi?Maana kwenye implementation katika wizaravya nishati kapata Grade F!
View attachment 2761140
Tuache masihala! Yani mtu anakuja kukueleza ule mkataba wa IGA ni wa Bandari ya Dar es Salaam tu wakati mkataba ukiusoma mwenyewe unajieleza wa Bandari za Bahari na Maziwa nchini Tanzania alafu unasema anauwezo wa kujibu hoja? Hoja anazojibu anajibu uongo alafu mnamsifu kweli? Tukiwa na Taifa viongozi wanasema uongo ili Taifa litapotea.Hata Mkurugenzi wa TPA yuko vizuri kwenye kujibu hoja.