ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mimi bwana sometimes naona kama mfumo tuliopo mzuri kiasi fulani kwani mbona watu wanafanya wanakula, na bado wanacheka na bado wanashabikia mpira na bado wanaenda kule Dubai.
Mbona kama mambo yamekuwa mazuri jamani si tukubali tu au unaweza kuhisi labda nina tatizo la stress.. Hapana?
Sikilizeni mimi naona Rais yuko sawa ila tu kuna watendaji fulani wanasinzia. Sasa ndiyo tuulizane hao wanaikwamisha mambo ni kina nani je ni:
A: Wakurugenzi
B: Mawaziri
C: Watu wa sheria
D: Watalaam
E: Wana CCM
F: Ni kitu hiko ambacho kinafanya tusitoke tulipo tuka ishi kibiashara wote?
Mbona kama mambo yamekuwa mazuri jamani si tukubali tu au unaweza kuhisi labda nina tatizo la stress.. Hapana?
Sikilizeni mimi naona Rais yuko sawa ila tu kuna watendaji fulani wanasinzia. Sasa ndiyo tuulizane hao wanaikwamisha mambo ni kina nani je ni:
A: Wakurugenzi
B: Mawaziri
C: Watu wa sheria
D: Watalaam
E: Wana CCM
F: Ni kitu hiko ambacho kinafanya tusitoke tulipo tuka ishi kibiashara wote?