Kwangu mimi, Regia Mtema ndio mbunge/mwanasiasa mahiri mwanamke mwaka 2011...

Kwangu mimi, Regia Mtema ndio mbunge/mwanasiasa mahiri mwanamke mwaka 2011...

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,343
Reaction score
2,527
..Baada ya uchaguzi wa mwaka 2010 kuisha na CCM kufanikiwa kuchakachua kura za jimbo la ifakara lakini bado akapata nafasi ya mbunge wa viti maalum kupitia CDM,japo ni mlemavu lakini kwa hakika amekuwa jembe la ukweli kwa chama changu makini cha CDM na amekuwa akiendelea kukubalika kwa kada mbalimbali za watu hasa vijana...ni watu wachache wenye hali kama ya dada huyu wanaoweza wakafanya kazi ya kukaa sehemu zaidi ya mwezi kwenye mapambano...amefanya hivyo Igunga na sehemu nyingine nyingi...

..Nimefanikiwa kumsikiliza live dada Regia kwenye mkutano mmoja hapa viwanja vya barafu DOM,she is energetic,patriotic,confident,responsible,and more than that she is beatiful....I like the way anavyoongea,ni makini na kwa hakika anaitaji pongezi kwa wabunge na wanasiasa wanawake kwa Tanzania....Na kwa chama changu amekuwa ni msaada sana kukijenga sehemu mbalimbali hapa nchini....

..Hongera dada Regia,keep it up!!



17456_284697267275_695827275_3273138_3199174_a.jpg17456_284697317275_695827275_3273142_3059808_a.jpg375369_285754451463852_207856559253642_796252_435702215_a.jpg17456_284697347275_695827275_3273144_117286_a.jpg
 
CDM wabunge wa shoka wanawake hawazidi watano wengine wote walipata ubunge wao kwa vimemo na mashinikizo.
Nawataja, Regia, Halima, Rose Kamili, Lucy Kiwanga na mmoja nimemsahau.
 
Naheshimu maoni yako, ila sikubaliani na umahiri wake.

Mimi nadhani ni moja ya wabunge wasio makini na wapayukaji.

Huwa hana pointi kabisaaa!!!.... mtu wa kulumbanalumbana tu!!

Shortly...... a waste of taxes.
 
Mtakie heri ya mwaka mpya 2008. Mbona siku hizi haonekani hapa. Mi namtafuta sana
 
ndo tatizo la nchi yetu vijana wakiweza kuunganisha methali mbili na riwaya moja basi wanaitwa majembe..na hasa wakiwa vyama vya upinzani..ukiwaulizia kwenye maisha yao wamefanya nini hata kwa wadogo zao wa mama mmoja hamna..na wanataka wapewe nchi..Hii nchi ni ya wakulima na wafanyakazi je umewahi kufanya lipi kati ya hayo ...jibu hakuna!!!afadhali wale wa chama tawala pengine hata walikimbiza mwenge..
 
ndo tatizo la nchi yetu vijana wakiweza kuunganisha methali mbili na riwaya moja basi wanaitwa majembe..na hasa wakiwa vyama vya upinzani..ukiwaulizia kwenye maisha yao wamefanya nini hata kwa wadogo zao wa mama mmoja hamna..na wanataka wapewe nchi..Hii nchi ni ya wakulima na wafanyakazi je umewahi kufanya lipi kati ya hayo ...jibu hakuna!!!afadhali wale wa chama tawala pengine hata walikimbiza mwenge..

umefanana na avatar yako kweli... mzigo ushakuzidi nguvu basi unakukukuruka tu
 
Ushaanza, maana ukisikia Regia Mtema unataka kulianzisha kama wakati uleeee. leave her alone please.

Una assume kitu ninachotaka kufanya, that is not cool.

Nimeambiwa mbunge mahiri, umahiri hauji bila kazi inayoonekana, ndio maana nikataka kujua sababu za umahiri huu ni zipi ili tujue umahiri unaendana na kazi yake au la.

Sijasema chochote kuhusu umahiri wake, naangalia methodology iliyotumika tu.
 
Back
Top Bottom