Kwani akishinda 2025 ndio uthibitisho kuwa anakubalika? Mmesahau Jakaya alivyopigika 2010 akabaki kusingizia udini

Kwani akishinda 2025 ndio uthibitisho kuwa anakubalika? Mmesahau Jakaya alivyopigika 2010 akabaki kusingizia udini

Tangu mfumo wa vyama vingi uanze,CCM haijawahi kushinda kwenye sanduku la kura.Wanatumia vyombo vya dola kuiba kura .
 
Kushinda uchaguzi sio kigezo kuwa unakubalika.

Kiongozi madhubuti hukubalika kwa kulinda rasilimali za taifa lake, kutetea raia wasionewe hovyo na kudhibiti dhulma.Pia Kudhibiti ufisadi.

Kura huwa zinaibiwa na kuchakachuliwa kila kukicha.

Je, uchaguzi wa 2010? Mmesahau aliyeshinda alikiri kushinda kimazabe. Mbaya zaidi akabaki kuusingizia waraka wa katoliki.

Mnatakiwa kukubali kuwa hakubaliki
Mfa maji haachi kutapatapa. Urais wa Tanzania ni wa CCM kama tunahitaji Amani, Umoja na Maendeleo

Sent from my Infinix X678B using JamiiForums mobile app
 
CCM hawawezi kushinda uchaguzi bila ya maelekezo
 
CCM hawawezi kushinda uchaguzi bila ya maelekezo
 
Back
Top Bottom