Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Hizi ni alama za nyota na mwezi niu alama za kidini.
Lakini cha AJABU na cha KUSIKITISHA Waislamu wenzangu wako kimya kwa hili, wanafurahia Uislamu unapotumiwa kwenye biashara za sheitwani.
Je nifanyeje ili niweze kuishtaki kampuni ya sigara iache kutumia alama hizo?
Lakini cha AJABU na cha KUSIKITISHA Waislamu wenzangu wako kimya kwa hili, wanafurahia Uislamu unapotumiwa kwenye biashara za sheitwani.
Je nifanyeje ili niweze kuishtaki kampuni ya sigara iache kutumia alama hizo?