Kwani aliyemshauri Diamond Platnumz kuvaa vile nani?

Nimepewa habari kuwa kigoma independent amejaribu kujiua mara mbili.........
 
Amekataa kuufata utamaduni wa mabeberu. Kathamini cha nyumbani. Watanzania ni wamoja na wamasai ni ndugu zetu.

Safi sana chibu dangote, uvaaji wako umeleta uzi jf.
 
Chawa wake wanasemaje
 
Angepata ushauri kutoka kwa maleigwanan wakamshauri mavazi sahihi ya kimaasai ,maana amevaa mavazi ya kike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…