Kwani Azam wamelogwa?

Wakipata kocha mzawa mfano Minziro, Mexime, Julio, Mkwasa n.k watatisha sana
 
Saivi inabidi kila mchezaji awhile deli la ice cream na ukwaju wakaauze maana ndicho walichonakiza

Haiwezekani timu inakila kitu afu mpira hauonekani

1. Uwanja
2. Pesa mishahara minono
3. Kambi Tunisia.
4. Sajili nzuri.
Usiulize babu pigia mstari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…